El Matador
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 7,132
- 3,936
ati those ain't slums.....HahahaHii picha ya Dar hunimaliza yangu yote atrue defination of shithole
![]()
ati those ain't slums.....HahahaHii picha ya Dar hunimaliza yangu yote atrue defination of shithole
![]()
They are middle class suburbs😀ati those ain't slums.....Hahaha
Kulingana na baadhi ya wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive way. Tuki post kitu kutoka Dar wale wa Nairobi wanaleta post ya kujibu. Na kama hakipo kwao wanasema hakipo na wao vilevile. Kama kipo kwenye plan wanaweza kuleta au sisi tunaweza kuleta kwaajili ya kujibu.
1. Master Plan of the city
2. Current View of the city
3. Ongoing Projects
4. Future Projects proposed
5. Culture and Life style
6. Food availability
7. Entertainment and Funny Places
8. Places to visit
9. Transport system (Private and Public)
10. Markets and Shopping malls
11. Hotels
12. Education centers
13. Health centers
14. Telecommunication and Data centers
15. Information Technologies and Innovation
Ndugu Jay456watt kutoka Nairobi kama ulivyo dai sasa thread inaanza.
Welcome to the battle.
How do you know?, slums are poorly built house, you must see them, aerial views gives you only arrangement of the house, you can't see the quality of houses, whether they have toilets or not, and how is sanitation, every thing is superb there.lol....slums behind....proceed with caution
Gotham......lakini ndinda ako na camera ambayo inafunika uchafuAs usual...check out their City Centre
![]()
so those are well built....nktHow do you know?, slums are poorly built house, you must see them, aerial views gives you only arrangement of the house, you can't see the quality of houses, whether they have toilets or not, and how is sanitation, every thing is superb there.
Because I have been there several times physically, I can confirm to you that, they are very good houses, please bring horizontal close photos, you will be ashamed and you will never post this photo again, I am sure you know that, that's why you don't like to use those photos that show details of Dar.so those are well built....nkt
😀😀😀Now i understand why the president in Tz is literally treated like a god. TZ you guys are doomed ,this can be compared to the dictatorship that existed in the colonial times.no difference.
sasa naelewa mbona kina ichoboy01 huimba sifa za magufuli kutwa kucha "asante magufuli" kana kwamba anawasaidia badala ya kuwatumikia. Kenya we are way ahead politically. tunakashifu rais akikosea, na kuwepo kwa upinzani inafanya rais hata asilale ila afanye kazi.
![]()
not even sure lol😀😀😀😀😀😀
@ 'I think' 😀😀😀
how do they breathe? afadhali manyanga zetuWatu wamefinyana kama kuku kichinjioni😱😱😱😛
![]()
haha blah blah blah, you dont need rocket science to tell what a slum is.How do you know?, slums are poorly built house, you must see them, aerial views gives you only arrangement of the house, you can't see the quality of houses, whether they have toilets or not, and how is sanitation, every thing is superb there.
Poleni na wivuhow do they breathe? afadhali manyanga zetu
Slum City ya dar ni ya kipekee hakuna mahala panafanana na NYC baybeee..😛😛
yes magufuli is our Godhahaha mwanzoni nilifikiri ni jokes au wanaongelea kiongozi fulani wa korea.
Hahahahaha, ninyi mnajulikana kwa kupenda sifa lakini ni watu wa hovyo sana, unakumbuka kifo cha Jacob Juma?. Vipi kuhusu yule pastor kule kisumu alipotoa mahubiri kanisani kuhusu Uhuru Kenyatta kuhusika kuwaua wajalua kilichomkuta?.Now i understand why the president in Tz is literally treated like a god. TZ you guys are doomed ,this can be compared to the dictatorship that existed in the colonial times.no difference.
sasa naelewa mbona kina ichoboy01 huimba sifa za magufuli kutwa kucha "asante magufuli" kana kwamba anawasaidia badala ya kuwatumikia. Kenya we are way ahead politically. tunakashifu rais akikosea, na kuwepo kwa upinzani inafanya rais hata asilale ila afanye kazi.
![]()