Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hii mbona hatukuletewa....Hahaha.Selective amnesia



fe8759875bdf7d20c1ba5de367f3aa97.jpg
Sio maneno yangu ni ya najib balala waziri wenu wa utalii😀😀😀😀😀😀
733BCE3A-CED7-4E6F-B28B-141CDCA5D971.jpeg
 
Hahaaa umesahau na Kungfuu + Taekwondo, maaana wakati unaruka dimbwi la maji inabidi uruke tena kinyesi then una kutana na mugger anakusubili. Halafu hapo ni CBD
Huko kwenu naona mpaka uwe muogeleaji shupavu...Hahahaha sijui mbona katika Olympics hamuonekani ama mashindano yenyewe ipo pale Kinondoni, Tandale Manzese flooded slums?
 
Back
Top Bottom