Message sentMzungu yupi hapo? Hata hujui tofauti kati ya wazungu na wahindi. Ama mwawaita wote wazungu kule bongolalaland
Message sentMzungu yupi hapo? Hata hujui tofauti kati ya wazungu na wahindi. Ama mwawaita wote wazungu kule bongolalaland
Sikulaumu bali nitaendelea kukuelewesha, haya majengo yanajengwa na mashirika ya hifadhi za jamii kama NSSF, hata huko kwenu baadhi ya majengo ni ya NSSF, dunia nzima mifuko ya hifadhi za jamii huwekeza katika non risky projects kama majengo, Kenya ni nchi pekee ambayo peza za mifuko hiyo hutumika kukopesha wanasiasa na kufanyia kampeni za siasa, badala ya kujenga nchi, stupid failed state.Kwani kazi ya tax ni nini?....iyo ni kukulwa na wanasiasa...serikali inamajengo kama KICC,times tower but privately owned ndio kusema hapa
sent from iPhone 7
Nairobi Global Business Centre | Westlands | 176m, 141m, 93m, 86m, 83m, 81m | 43, 35, 28, 25, 24, 24 fl | U/C - SkyscraperCityAnhaa, subiri PPF iishe unajua mm sio mwalimu utaelewa kwa picha, btw hao avic yaonekana wana mpunga wakutosha hadi Uku Dar wanakijiji chao
Very old story, tafuta ya karibuni uone mambo yalivyo, endeleeni kunya katika mitaro, kwanza hamuhitaji vyoo kwasababu hata chakula hamna, vyoo vyanini?Usitoe chawa kwa shati ya mwenzio wakati una kunguni mia![]()
That's 2017 old story ni weweVery old story, tafuta ya karibuni uone mambo yalivyo, endeleeni kunya katika mitaro, kwanza hamuhitaji vyoo kwasababu hata chakula hamna, vyoo vyanini?
Prove thatThat's 2017 old story ni wewe
Ukiwa umbeya kuenda choo unabeba jembe kiwanjani unachimba chini kiasi unamaliza shughuli then unazikaProve that
Sasa kama unafahamu best way ya kuhifadhi, kwanini sasa ninyi mnakunia kwenye mitaro?, cholera will be your friend foreverUkiwa umbeya kuenda choo unabeba jembe kiwanjani unachimba chini kiasi unamaliza shughuli then unazika
MZIZIMA towers now Ndio refu mjin linapanda flr 40,33 ...mzizima yaweza kua zaidi ya 165+ M kwa 140+M ...izo zingine za chini ya meter 100 tunazo mob
Yaani ata hauko sure na height yakeMZIZIMA towers now Ndio refu mjin linapanda flr 40,33 ...mzizima yaweza kua zaidi ya 165+ M kwa 140+M ...izo zingine za chini ya meter 100 tunazo mob
kabisa wakenya wote ni kunguniSikulaumu bali nitaendelea kukuelewesha, haya majengo yanajengwa na mashirika ya hifadhi za jamii kama NSSF, hata huko kwenu baadhi ya majengo ni ya NSSF, dunia nzima mifuko ya hifadhi za jamii huwekeza katika non risky projects kama majengo, Kenya ni nchi pekee ambayo peza za mifuko hiyo hutumika kukopesha wanasiasa na kufanyia kampeni za siasa, badala ya kujenga nchi, stupid failed state.
yaani washikaji ni shiiida tupu wazee wakuangusha mizigo....
Hapa kama unapoint hv. ..Wabongolala walishindwa kuuza movie zao...wananyingi sana lkn Bure 2..wakaamua kupoteza flavour movie zingine kwa kutafsiri.kwa lugha yao mbovu....ambayo wanajiuzie hao wenyewe.....yani hawanaplan..badala watengeneze zao
Hadi nifatilie ila ndio hvoYaani ata hauko sure na height yake
Nyie ndiyo hamna kabisa mnakunya kwa mtaro na kwa mfukoUsitoe chawa kwa shati ya mwenzio wakati una kunguni mia![]()
Vyoo vipo humo??