Edward Wanjala
JF-Expert Member
- Nov 3, 2016
- 8,122
- 6,429
A Nairobi Street, i don't know how long or how many years it will take Dar to get such a street
Hahahahaha kwahyo ni game reserve sio?nmeweka fence kabisa vipi kuingia ni pesa ngapi?Wewe hujielewi, vipi unakurupuka??? Hiyo sehemu yote ya Kibera mwishowe itakuwa hivyo hivyo, Kibera si ya mtu, ni mahali tu watu ambao hawana makazi wemekusanyika, hivi serkali inawajengea nyumba hapo hapo Kibera
Unajua unachonifurahisha we ni kwamba hakuna pic umepost nikaona jengo jipya labda iba picha nchi za watu upost hahahhaha maana sioni jipya humu marudio tu hahahhaahahahCity of Nairobi
![]()
![]()
![]()
![]()