Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,951
- Thread starter
- #7,441
Naona umekuja ukajioooona. Ngoja tukutulize kidomo. Unaleta picha za kwenye makaratasi.
Hii ni Dar real
View attachment 488400
Hii ni Dar real
View attachment 488400
Iko mtaa gani niendeA taste of Japan, in Nairobi
![]()
Wewe hujielewi, vipi unakurupuka??? Hiyo sehemu yote ya Kibera mwishowe itakuwa hivyo hivyo, Kibera si ya mtu, ni mahali tu watu ambao hawana makazi wemekusanyika, hivi serkali inawajengea nyumba hapo hapo KiberaNyie wakenya mko na roho mbaya ajabu...u dare to construct a wall to discriminate other low living standards and yet U call yourself " A world Class City" fools.