Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

6586.jpg
 
uchafu unaweza kuisha... au sio? lakini hio haibadilishi ukweli wa mambo kuwa Nairobi ni mojawapo wa miji muhimu kabisa barani Africa...hata kwa uchumi tu (GDP) ya Nairobi pengine muunganishe miji yenu yote ndio mfikie....uchafu tutadeal nao infact tayari tumeanza kudeal nao.... hio isikusumbue hata kiogo....
Hahahaha yaani unanichekesha sana. Wewe unaangalia upande wako tu siyo? Huoni na sisi tuna deal na mambo mengi muhimu sana hapa Dar? We are expanding "Julius Nyerere International Airport". By the end of this year Terminal III itakuwa tayari and capacity kwa mwaka ni 9M. Zinaweza kupaki ndege zaidi ya 20 kwa wakati mmoja. Wewe unajifanya kipofu siyo?

Nairobi usifananishe na uchafu tafadhali

Umesema tusifananishe na uchafu kati ya Dar na Nairobi ni jiji lipi chafu?

1. You have big problem of water in Nairobi
2. Muggers are everywhere in Nairobi (But Tanzania we have ulinzi shirikishi ni matukio machache mno ya kuibiwa kwa sasa almost zero)
3. We have DMDP by 2020 Dar itakuwa safi zimetolewe $330Mil from world bank.
4. BRT phase II inaanza mwaka huu.


Huna kitu cha kujitetea rafiki usidhani Dar imesimama kuwasubiri nyie tu.
Is very difficult to compete with coastal city my friend. Is the matter of time utajicheka mwenyewe ukianza ku review comment zako.
julius nyerere international airport terminal 3

39989144822_5433c8fe12_o.jpg


Julius-Nyerere-Airport-Terminal-III.jpg
 
Acha fiksi za kiCCM, hakuna njaa wakati juzi juzi tu watu wamekula vidudu wavi pale Dodoma!!!

Pengine ‘hakuna njaa’ kwa sababu the pathetic, skunk CCM government prohibited people and the media from speaking about uwepo wa njaa.
aisee hii habari imenishtua sana wallai. eti walikula nini eti?
 
am thinking of a 3rd class railway that's not gonna bring any economic importance to it's poor people and thus become a huge white elephant
So why are you crying like a baby?
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png

Do you have analytical evidences about you childish arguments?
 
Hii video imechukuliwa Pretoria
Kweli afrika ni shiiida
Ona mshamba huyu sasa!? This is the battle (Dar vs Nairobi). Pretoria imetoka wapi hapa? Au ni namna ya kuhaha!!?
 
These white people have been strealing from us for a long time and they know we are doing the right thing. Hizo ni propaganda tu. Magufuli should continue to fight against corruption and tax evasion. Wakishindwa waondoke tu.
Hahahahahahaha Peleka vijisababu hukooo LDC
 
TZ voted second best tourism destination

Limitless Desert

Feb 14, 2018 6:39 PM



TANZANIA has been voted the second best tourism destination in the ‘exotic vacation’ category in the National Geographic Traveller Awards of Russia, being the second time to scoop the prize during the past six years.

Zanzibar was in the year 2011 voted the best travel destination in Africa, according to a statement issued yesterday by the Ministry of Foreign Affairs and East African Co-operation.

Some 270,000 readers took part in the online voting by prestigious National Geographic Traveller Awards, which took place towards the end of last year in Russia. Tanzania came behind Japan in the ‘exotic vacation’ category and it was followed by the Dominican Republic.

The awardsgiving ceremony was attended by representatives of embassies and offices for tourism, top managers of travel agencies, hotels and airlines.

The event was graced by the founder of the Moscow Times publishing house Demian Kudryavtsev, editor in chief of National Geographic Traveler Olga Yakovina and head of the Federal Agency for Tourism Oleg Safonov. Meanwhile, Tanzania has received an offer for short and long-term scholarships for different cadres from the governments of South Korea, Egypt and Malaysia.

The government of South Korea has offered four short course openings for civil servants in clinical expertise (two), health administration (one) and senior health practitioner (one).

The courses are sponsored by the Korea Foundation for International Healthcare under the “Dr Lee Jong-wook fellowship programme.”

“Applications for the scholarships should be submitted to the Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children - which is coordinating the programme,” according to the statement. It further explained that the government of Egypt had offered two short-term scholarships for the “19th Basic Training Course for the African Broadcasters,” to run from February 25 to March 25, this year.

They will be coordinated by the Ministry of Information, Culture, Arts and Sports

Report a problem

174dislike
 
Back
Top Bottom