Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,994
Nairobi bado sana kwa Dar. Hata wewe mwenyewe unaweza kukubaliana na ukweli
Tizama hapa ni Dar sehemu ndogo. Nimeengalia video yote uliyoiweka naweza kusema kweli barabara ni nzuri kiasi kidogo japo kwa upande wa BRT tunawanyosha. Kwenye majengo usiseme Nairobi iko too scattered lakini dar ipo vizuri kwa upande huo
sasa mmejenga majengo ya kukodisha karibu na CBD ulitaka density ikose namna gani...jambo unafaa uelewe ni kuwa Nairobi estates hazipo hapo kwa CBD....Nairobi CBD area is strictly for business...hakuna mtu ambaye amejenga plot za kukodisha ama kuishi karibu na CBD ya Nairobi kama nyie...for example this estate here is not near the CBD but if it was then we would have the density of buildings and closeness...yaani hazingekuwa scattered...kariakoo ipo karibu na TPA, PSPF na kadhalika ila watu wanaishi kule..Nairobi hakuna mtu anaishi karibu na CBD...elewa hilo kwanza
jambo lapili, kuna maneo mengine kama Westlands ambayo hayapo pichani