sindio nashangaa analeta picha sio za dar alaf anasema dar😀😀😀😀😀😀😀Mbona hizo picha za flyovers na hayo magorofa unaleta horizontal photos, ila hizi unaleta aerial far above, unaficha nini, hizo picho ukiondoa hiyo moja, zingine zote sio Tanzania, unajaribu kutumia kila njia kujitoa katika aibu ya slums za Nairobi
Tanzania watu wanajenga wenyewe nyumba za ndoto zao , unatafuta ramani nzuri unayopenda mwenyewe unajenga house of your dreamSasa wewe unatuletea beach properties to counter apartments found in middle income estates za Nairobi? Ungetuletea tu apartments ambazo ziko kwenye mitaa ambaye mwananchi wa kawaida wa kipato cha wastan anaweza afford kuishi vile zlivyofanya El Matador
Don't you know natural aesthetics in architecture!?
even tz is twice bigger than kenya with a smaller economy
Hapa unaleta horinzal views, very close ili tuone details, ila utapotaka kuonyesha kama Tanzania kuna slums unatuletea aerial view iliyopigwa kwa juu sana ili kuficha ukweli kwasababu unajua hakuna slums Tanzania
lol unauliza mtanzania mambo ya aesthetics.......hao kila kitu ni rangi hadi mabatini mwanza airport
Lete horizontal views kama unavyoleta hizi zenu za magorofa ili tuone kwa karibu na details zotehahaha nitakuletea aeriel view ya imara Daima ...usijali
Fuatilieni ili muweze kujifunza jinsi ya kupambana na njaa, ukabila, insecurity, unemployment, terrorism, slums, kupunguza gap kati ya masikini na tajiri......Sasa tufuatilie nini kwa LEAST DEVELOPED COUNTRIES?
kwa jichoboy real estate ni michipuko ya uswazini
Beautiful foreigners
Lol..................mmekosa picha mkaanza porojoTanzania watu wanajenga wenyewe nyumba za ndoto zao , unatafuta ramani nzuri unayopenda mwenyewe unajenga house of your dream
Nairobi ni watu wachache wanawajengea maskini wakapange waishi kwenye nyumba zinafanana ambazo ni dormitories
Kumbuka any house that you share same build more than one family that is dormitory.
Nairobi mwanaume mzima na familia yake ame rent nyumba kwa landlord I can see the humiliation mnapitia
Mwanaume wa Nairobi anapigwa na mwanamke maana mostly hawana mawazo ya kujenga wanawaza kuama kutoka dormitory moja kwenda dormitory nyingine akiwa kafanikiwa kutoka kibera
kariakoo from different angle.....thanks bro
Germanyisn't this the same road ....?
thats kariakoo
Germany
Maisha ya kuishi dormitory sitakidreamhouses za spensa hizo....mshamba wa arusha anayeogopa maisha ya mpangilio