Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

E7CF6BC9-EF8E-43BF-8A1F-531B7F4B583F.jpeg
 
sisi tunataka wafanya biashara wanaolipa kodi na maslahi ya nchi hatutaki investors wajanja tu maendeleo ya nchi kwanza
si unaona mikataba kenya inavowagharimu leo😀😀😀😀😀 munachojali business sasa business na mikataba inayonukia ufisadi inavokula nchi😛😛😛😛😛😛
4a257a91856193bf9b838412d061362f.jpg
Nilichogundua mkenya bora alale njaa bt akiamka asubuhi aone ghorofa la mwekezaji wa kizungu ambaye hapo hapo haajili wakenya ...jirani zetu ushamba wa maghorofa ndio unawalaza njaa ..
 
where is iphone7 nashangaa unatuonesha chakula mbona iphone 7 huoneshi sasa😀😀😀😀😀😀

na siku ukipata iphone7 kenya nzima itajua😛😛
Haha dude unaona sasa kuishiwa ....lol najua sai utatuma picha ya Mali yako hadi bibi,shida wewe mlemavu huwezi tuna picha yako...naskia ata kilo 40 haufiki....mwarabu manga joo
 
Back
Top Bottom