Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii ni upuuzi!
Hata sisi kama tunataka sifa tunaweza kujenga haya mavitu. Wanayo fanya Rwanda, Ethiopia, Kenya na nchi nyingine za Africa ni show off ili kuonekana wameendelea wakati maisha halisi ya watu wao ni magumu sana case ya South Africa pia.

Miradi tulioifanya kwa pesa zetu, SGR, ndege mpya, JNHP na mengine mingi ungekuta tuna miji ya kisasa na mikubwa ajabu na tunatrend sana mitandaoni kuwa tumeendelea.
With leaders like JPM I may agree, but not these low score schools dropouts we have right now.
 
ze international stadium
1788819977304.png
 
Back
Top Bottom