stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 35,509
- 34,085
nmemtumia na yeye kuanzia sms mpaka nmelogin kwenye akaunti yangu na nkaipiga picha kadi, karudi kinyonge sana tumvumilie, si unajua 4G mpaka apate message sio leo 😂Kana wivu kishenzi, huoni anamlazimisha mwenzake asiamini ulichomtumia. 😂😂😂