Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


ya kwao hii apa
1787488839153.png
 
unauliza majibu tena 😂😂 and how much does GOK remain with after paying the loans kwenye budget vs how much does tanzania remain with 😂😂😂
Hakuna kitu huwauma kama kuwaambia ukweli kuhusu uwanja kienyeji waliojengewa. 😂😂😂
Wakati Tanzania tukisherekea ujenzi wa SGR zaidi ya Km 2,000 na kukamilika kwa bwawa kubwa la kuzalisha umeme JNHPP 2,115MW wao wanasherekea uwanja wa mpira ati tunawaonea wivu wakati Tanzania tunajenga viwanja vipya vitatu FIFA standard.
 
Hakuna kitu huwauma kama kuwaambia ukweli kuhusu uwanja kienyeji waliojengewa. 😂😂😂
Wakati Tanzania tukisherekea ujenzi wa SGR zaidi ya Km 2,000 na kukamilika kwa bwawa kubwa la kuzalisha umeme JNHPP 2,115MW wao wanasherekea uwanja wa mpira ati tunawaonea wivu wakati Tanzania tunajenga viwanja vipya vitatu FIFA standard.
hujaona jinsi Teargass anapiga kazi kuubrand apa 😂 😂 watu wanamwangalia wanacheka

View: https://x.com/Wiki_Kenya/status/2088005465011818978?s=20
 
Back
Top Bottom