President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 33,973
- 93,299
Si kweli unachoongea. Kabla ya kwenda nchi za South Bertin ameshaenda Kenya mara mbili.Then it means Bertin doesn't like Kenya that much and it's okay. Ndio maana hapendi kuvisit huko ila amevisit Southern African countries twice. Hata mimi napenda Southern African countries zaidi, ndio maana nafuatilia sana channel ya Bertin
Hata hivyo video za Kenya kutoka kwa YouTubers wengine zimejaa mtandaoni, sio lazima Bertin aoneshe Kenya the way mnataka