Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Groundbreaking for a 34 floors tower in Milimani.


View: https://www.instagram.com/p/DbxvegGjSe5/?img_index=3&igsh=MXY4bXpra2gyb2lwdA==

1000366275.jpg
 
Mimi ni mbongo lakini kulinganisha Dar na Nairobi ni insane wandugu. Nairobi mji umepangika sana na upo vizuri sana kuliko jiji langu la Dar. Yes, kuna slums area kama Kibera, ila Dar ina slum pia Manzese, M'nyamala huko, mbagala nk. Nairobi iko kwenye level ya majiji kama Johannesburg, Pretoria, Cairo, Addis Ababa n.k. Dar bado sana, mpangilio wa jiji umeharibiwa na ujengaji holela wa sehemu za wazi za mapumziko ya watu na viwanja vya michezo. Jiji kupendeza sio majengo ya maghorofa ni pamoja na mpangilio wake na miundo mbinu pia.
 
Mimi ni mbongo lakini kulinganisha Dar na Nairobi ni insane wandugu. Nairobi mji umepangika sana na upo vizuri sana kuliko jiji langu la Dar. Yes, kuna slums area kama Kibera, ila Dar ina slum pia Manzese, M'nyamala huko, mbagala nk. Nairobi iko kwenye level ya majiji kama Johannesburg, Pretoria, Cairo, Addis Ababa n.k. Dar bado sana, mpangilio wa jiji umeharibiwa na ujengaji holela wa sehemu za wazi za mapumziko ya watu na viwanja vya michezo. Jiji kupendeza sio majengo ya maghorofa ni pamoja na mpangilio wake na miundo mbinu pia.
Hakuna mbongo anaandika kama wewe. Jaribu tena baadae
 
Mimi ni mbongo lakini kulinganisha Dar na Nairobi ni insane wandugu. Nairobi mji umepangika sana na upo vizuri sana kuliko jiji langu la Dar. Yes, kuna slums area kama Kibera, ila Dar ina slum pia Manzese, M'nyamala huko, mbagala nk. Nairobi iko kwenye level ya majiji kama Johannesburg, Pretoria, Cairo, Addis Ababa n.k. Dar bado sana, mpangilio wa jiji umeharibiwa na ujengaji holela wa sehemu za wazi za mapumziko ya watu na viwanja vya michezo. Jiji kupendeza sio majengo ya maghorofa ni pamoja na mpangilio wake na miundo mbinu pia.
Ata sisi tulikua tunajua mbagala ni slum mwanzo mpaka pale tulipofika kwenye maaana halisi ya slum
 
Mimi ni mbongo lakini kulinganisha Dar na Nairobi ni insane wandugu. Nairobi mji umepangika sana na upo vizuri sana kuliko jiji langu la Dar. Yes, kuna slums area kama Kibera, ila Dar ina slum pia Manzese, M'nyamala huko, mbagala nk. Nairobi iko kwenye level ya majiji kama Johannesburg, Pretoria, Cairo, Addis Ababa n.k. Dar bado sana, mpangilio wa jiji umeharibiwa na ujengaji holela wa sehemu za wazi za mapumziko ya watu na viwanja vya michezo. Jiji kupendeza sio majengo ya maghorofa ni pamoja na mpangilio wake na miundo mbinu pia.
😂😂 Sawa Mtanzania mwenzangu
 
Back
Top Bottom