ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
kuna mpuuzi mmoja wakikenya alisema kua kenya ndio imeshika soko la africa mashariki nafkiri hakua na taarifa sahihi😀😀😀😀😀
tanzania imeshika soko africa mashariki na kati zikiwemo zambia, malawi na mozambique kwenye mambo yafuatayo
1] oil - kwenye sector hii go east and central utakuta vituo vya mafuta vya matajiri wa tanzania wakiwemo oilcom, lake oil etc
2] gas - kwenye sector hii inajieleza vyema
3] wheat- azam and azania hawa ndio wameshika masoko ya unga ukanda wa africa mashariki na kati
etc naendelea kufanya utafiti wa uhakika
tanzania imeshika soko africa mashariki na kati zikiwemo zambia, malawi na mozambique kwenye mambo yafuatayo
1] oil - kwenye sector hii go east and central utakuta vituo vya mafuta vya matajiri wa tanzania wakiwemo oilcom, lake oil etc
2] gas - kwenye sector hii inajieleza vyema
3] wheat- azam and azania hawa ndio wameshika masoko ya unga ukanda wa africa mashariki na kati
etc naendelea kufanya utafiti wa uhakika