Traxtion
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 7,579
- 15,463
I understand very well. Hii ilikuwa topic ya jana. Ni wewe ndio huelewi naongelea niniBecasue I want to give you the grace of not understanding what the word means.
I understand very well. Hii ilikuwa topic ya jana. Ni wewe ndio huelewi naongelea niniBecasue I want to give you the grace of not understanding what the word means.
Kuna mbuzi hapo 🤣🤣🤣mtumeeee, tumekatazwa..
View attachment 3635596
Pedestrian paths za Westie 🔥🔥🔥
Pity yourself maana haitajengwa Kenya mark my words.If you still have hope that hiyo refinery will come to Tanzania that I pity you.
filter zikiisha tu ndo unapata ule uhalisia sasaPedestrian paths za Westie 🔥🔥🔥
Ni jina la colonial master tuu ndio linapaka rangi lakini no difference na kawangwarehii ni bus terminal jaman msione kama pamekaa kizembe
View attachment 3635703
View attachment 3635704
sasa walitakiwa waparembe vizuri sasa paendane na colonial masters, sasa wale wazee wakirudi wanakuta mzigo huu apaNi jina la colonial master tuu ndio linapaka rangi lakini no difference na kawangware
Hivi hii discussion ya treni si tulishamaliza? Nakumbuka wakati inajaa siku za mwanzo walisema tukixoea zitaenda tupu.Speed ya train inategemea na rail ilivyojengwa wala sio umeme na hata mkiweka umeme speed haitazidi hiyo mliyonayo sasa maana ni design speed ya rail yenu hiyo mnayo milele.
Because ni topic ya jana nisiquote? Umeona neno benchmaking na unapinga hawajaenda kujifunza. Hivi unaelewa maana ya neno benchmaking?I understand very well. Hii ilikuwa topic ya jana. Ni wewe ndio huelewi naongelea nini
And what's the purpose of Tanzanians to come to Konza for benchmarking. Like the real purpose. Lengo kuu ni niniBecause ni topic ya jana nisiquote? Umeona neno benchmaking na unapinga hawajaenda kujifunza. Hivi unaelewa maana ya neno benchmaking?
Some vllages have alot to explain 😂 😂 hakuna kupinda mgongo na unakaa kwenye slum