Huo ni upotoshaji. DMDP 1 walijenga barabara nyingi sehemu zifuatqzo
1.Temeke hakuna sehemu iliowekwa lami DMDP 1 ndani ya Temeke ambayo ni makazi holela.
2.Mbagala Kuu vile vile zimewekwa lami kwenye mitaa rasmi.
3.Mwananyamala na Kijitonyama hakuna mtaa usio rassmi uliowekwa lami yote ni mitaa mikubwa.
4. Kinondoni bwawani hadi Victoria mitaa iliowekwa lami yote ni planned tena huku wameweka zege.
Tandale njia kuu iliowekwa lami ni ile inatoka Sinza hadi Magomeni,ingine inatoka Kijitonyama hadi Mabibo hizo zote ni njia rasmi.
Kutoka hizo njia rasmi hasa maeneo ya Tandale wamestretch few meters kuingia Uswazi hazifiki huko katikati.
5.Magomeni yote.Kqgera,Mburahati lami zimewekwa mitaa iliopimwa hakuna makazi holela lami imedikq
Alichofanya Magufuli hakulipa fidia na hakubomoa baadhi ya nyumba ambazo ziko karibu sana na barabara hivyo kuna maeneo lami inapita nje ya baadhi ya nyumba.
DMDP 2 inaendelea maeneo mengi mfano Kigamboni imenufaika sana kuliko wakati wowote. Ila tu speed ya DMDP 2 ndio kidogo mwendo wa kinyonga.