kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
porojoMagorofa tunayoyahenga sio eti nani aliye na gorofa ndefu kushinda mwingine,(kama vile nyie na ulimbukeni wenu na porojo mnavyofikiria)Ni majumba marefu marefu kwa ajili tuko na wealthy middle na upper middle class plus Kenya inaongoza Africa nzima kwa multinational corporations .Hivi nyie magofu ya kuokotwa na kutupwa za mzizima towers,na gorofa tupwa tupwa za Tpa na pspf zitakaliwa na nani?Naona ni historia itakavyokuwa kama ponte city apartments miaka iliopita.Pinnacle kwa sasa kwenye jengo la hoteli maharufu ya Hilton tayari iko 100% taken, that is 45 storey smaller arm,while the 70 storey arm b4 hata marketing ianze,liko 50% booked!!!
