Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Taarifa sahihi hizi hapa: 81% ya wakenya wanakuja Tanzania kusoma
View attachment 3612519


Najua hata hujui maana ya survey, mdio maana unaokota tu any data to prove a point. Hii ni survey ya wiki mbili. Masaibu ya kuwachia shule class 4.

Capturee.PNG
 
Najua hata hujui maana ya survey, mdio maana unaokota tu any data to prove a point. Hii ni survey ya wiki mbili. Masaibu ya kuwachia shule class 4.

View attachment 3612527
Hizo unazoleta ni mbwembwe tu. Taarifa zimeshaonesha 81% wanakuja kwaajili ya Education 🤣 🤣 🤣 🤣
Elimu ya Tanzania ni bora yani 81% ya wakenya wanakuja kusoma Tanzania.
 
Punguza ujuaji hizo ni affordable housing za Kibaki era. Kwanza kabisa right now kibera imegawanywa mara mbili na barabara inayoitwa missing link road.
Uongo, hizi ndio affordable houses ulizopost
1771826771492~2.jpg

.
Kama sio hizo then post the aerial view ya Kibera tuone ilivyochange
 
Affordable houses za Kibera in 2026 zipo only in this part 😂

.
.
The full aerial view is this one na affordable houses zipo kwenye circled part, mahali video ilipochukuliwa
1771826771492~2.jpg

.
.
Also after 10 years hizo affordable houses zitakuwa kama Pipeline
pipeline-.jpg
 
Back
Top Bottom