Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

That’s the lighting system I was talking about from the beginning… na mambo bado …those of you who have visited an American pro sports stadium during matches can attest what’s coming…
Hakuna Stadium itaweza competing with Talanta Stadium in East and Central Africa in terms of modernity.
 
That’s the lighting system I was talking about from the beginning… na mambo bado …those of you who have visited an American pro sports stadium during matches can attest what’s coming…
Nyinyi watu ni washamba, ndo mana tunasema nyie bado. Hii ni Amahoro ambayo mmeiga design yake mpk lightning style.
1000413233.jpg

Alafu nikamsikia mnuka mavi kule juu anasema roofing style ya sufuria lenu eti ni ya kipekee, kasahau kabisa hiyo roofing style ipo bongo since 2023 na hatuongei, nyinyi watu ni washamba mnooo. Hii hapa ni Amani stadium.
1000413234.jpg
 
We ni pimbi kila siku nakwambia, nmetumia mfano wa japan for you to answer the same question and ofcourse amnot expecting you to get correct answer because we ni mjinga, no wonder hata hujui where GDP comes from
What's your level of education?
 
Hadi huu mwezi ukiisha hili dubwana litakia tayari limeshafunikwa lote, makunya yatakimbia humu. 😂😂👇🏾View attachment 3592528View attachment 3592529
Mpk Afcon inaisha kuna somo kubwa sn tutatoa ukanda huu, na ndiyo utakuwa mwisho wa kujifananisha na sisi, yn wewe una uwanja mmoja na mechi zitafanyika katika mji mmoja uje ujilinganishe na sisi ambao mechi zitachezeka miji mitatu tofauti!? Hawa wana akili kweli hawa!?
 
Imagine hajui tofauti ya WiFi na Data ya kawaida, tena hajui namna 5G ilivyo na speed kubwa. 😂😂😂
Wamezoea kuishi fake like so hudhani kila mtu yupo kama wao.
Hasira imeisha Mr. Scammer? You won't scam people here when I'm around, umeskia?
 
Back
Top Bottom