Traveller D
JF-Expert Member
- Jul 11, 2025
- 1,722
- 4,602
uwanja wa Yanga ujenzi wake utaanza hivi karibuni. 👇🏾
Logistics hub nyingine hiyo tena mnashauriwa kuiga sio mimi bali ni gazeti lenu wenyewe😁JKIA is the biggest cargo hub in Africa. Wacha kujiaibisha.
www.thecoast.co.ke
yaani bila Simba hamtoki!uwanja wa Yanga ujenzi wake utaanza hivi karibuni. 👇🏾View attachment 3589066View attachment 3589067View attachment 3589068View attachment 3589069View attachment 3589071
Sasa kwani unadhani hio Cargo hub inakua linked na nini? Bongolala ushamba itawamaliza.Ndio comeback yako hiyo ya kishamba ivi unajua maana ya logistic hub/park kama uliyosema hapo mwanzo? A cargo hub is not a logistics hub. Lete hapa logistic hub from Kunya acha kurukaruka uanzishe mjadala wewe uhamishe magoli wewe hapa nakamata kende na vise siachii.
Kampeni zenu huwa zina feli mara zote, kumbuka ya bomba la mafuta na ya Odinga kuwa mwenye kiti wa Au🤣wacha kua na hopes,hii kitu itajengwa mombasa...Dangotee mara mingi alitaka kuja kufanya biashara Kenya tatizo ni alikua akisumbuliwa na serikali ya uhuru. Ruto si mjinga ukiskia akisema hao pia kuna venye watachangia pia hao wapate kitu jua ashapiga hesabu zake..anawapumbaza..but behind the doors the deal is sealed.Ruto wont let this slide especially venye kuna campaighn zenye zinakuja..hizi ndio zitakua project atatumia..
😂😂 mimi Simba mkuu, nime kubali tu kuona Tz tunakimbiza watu wa ukunduniyaani bila Simba hamtoki!
mbona mnaweka ubao wa 5:1?😂😂 mimi Simba mkuu, nime kubali tu kuona Tz tunakimbiza watu wa ukunduni
Nimemskia Raisi akisema ujenzi wa uwanja wao unaanza kesho, kwamaana hiyo 2028 tunakua na uwanja mwingine mkubwa standards za FIFA in Dar.
Makunya tunayaacha mbali mno kiviwanja vya mpira. 😂😂 hiyo ndio furaha yangu.
A logistic hub is more than a cargo hub, you dumb.Sasa kwani unadhani hio Cargo hub inakua linked na nini? Bongolala ushamba itawamaliza.
What are those Market forces?Market forces will determine the uptake of this product sio ngonjera na porojo za kina British Bulldogs
Mbona umesahau Chamazi.Hadi kufikia 2028 Tz itakua na viwanja Saba vyenye standards za CAF.
1. Lupaso stadia
2. Dom stadia
3. Arusha stadia
4. Fumba stadia
5. Yamga stadia
6. Amani stadia
7. Gombani stadia
Vs Two lavid stadias in kunyarenda 😂😂😂
Make google ur friend, stop tiring me with silly questions.What are those Market forces?