Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 31,033
- 33,247
Really?🤔🤔🤔China ndio taifa lenye uchumi mkubwa na wa kweli duniani, hicho kinchi chako kina uchumi wa mazungumzo tu, juzi tu kimepigwa na Iran kama buru kenge. 😂😂😂
Really?🤔🤔🤔China ndio taifa lenye uchumi mkubwa na wa kweli duniani, hicho kinchi chako kina uchumi wa mazungumzo tu, juzi tu kimepigwa na Iran kama buru kenge. 😂😂😂
Unajua kitu kinachoitwa mixed economy au umezoea kukariri tuu?So the over 1300 American companies operating in China are practicing the socialist model?… Chinese government only provide political oversight and allow free market to dictate details. Go back to Primary school and start again from there 🤣🤣🤣
Is that your excuse?… what next ?… blame Maji Maji believes for your weak military…🤣🤣🤣🤣When was NSE established as opposed to DSE?
Hata hiyo Safaricom si imeshauzwaNamba 5 kuna serikali ya uganda (20%)!
wacha visingizio bagamoyo port sababu ni Magufuli! France anahusika vp?Unaamini wafaransa? Walitutoa kwenye reli hao kuhusu Bagamoyo Port tukakataa offer ya China si watu wakuwaamini hao bahati mbaya wazungu maneno mengi hela kidogo ikitoka inatoka na masimango mengi na dharau.
Ndio Vodacom South Afriica ndio largest owner! juzi waliuziwa another 15% yaani saahii ni 70% owner pending to High court of Ukunduni decision!Hata hiyo Safaricom si imeshauzwa
NSE ni kama bumunda, kubwa kumbe ndani limejaa upepo tuIs that your excuse?… what next ?… blame Maji Maji believes for your weak military…🤣🤣🤣🤣
Mixed or not, the prosperity is driven by the capitalism part. Nyinyi on the other hand you want full control of your economy by the government so you can receive handouts. That’s communism and no nation in history got rich that way …even China had to change waysUnajua kitu kinachoitwa mixed economy au umezoea kukariri tuu?
Hutaki tena kuongelea NSE? Ngoja nikuache maana aibu umeipata. Naweza kukuongezea hapa Tanzania kuna kitu kinaitwa Unit Trust of Tanzania (UTT AMIS). Ni mashine kali sana. Kenya kitu kama hiki hakunaMixed or not, the prosperity is driven by the capitalism part. Nyinyi on the other hand you want full control of your economy by the government so you can receive handouts. That’s communism and no nation in history got rich that way …even China had to change ways
It’s still more trusted than Dar …Money talks 😆😆NSE ni kama bumunda, kubwa kumbe ndani limejaa upepo tu
Trusted by who? Yaani NSE ipo na miaka 70 but still has the capital of only $28b. Who can trust this. Do you know about Unit Trust of Tanzania (UTT AMIS)?It’s still more trusted than Dar …Money talks 😆😆
Mr. Gashaw Wolde, the IAEA Deputy Director General and Head of the Department of Technical Cooperation, officially visited Tanzania from February 2 to 6, 2026. During his visit, he met with Tanzanian officials to discuss ongoing collaborations in cancer treatment, agricultural advancement, and the country's developing nuclear energy program.Hakuna kitu mumefanya kitambo, you don't even have a proposed site. Huyo head of IAEA hata sidhani amewai fika bongoslum. 😂 😂 😂
Does that matter?When was NSE established as opposed to DSE?
Yes. It does matter a lotDoes that matter?
DEPUTY 😂 😂 😂 So where is your proposed nuclear site?Mr. Gashaw Wolde, the IAEA Deputy Director General and Head of the Department of Technical Cooperation, officially visited Tanzania from February 2 to 6, 2026. During his visit, he met with Tanzanian officials to discuss ongoing collaborations in cancer treatment, agricultural advancement, and the country's developing nuclear energy program.
Unataka wakuambie wewe, Who are you?DEPUTY 😂 😂 😂 So where is your proposed nuclear site?
yes, and most of them who dont follow are bannedSo the over 1300 American companies operating in China are practicing the socialist model?… Chinese government only provide political oversight and allow free market to dictate details. Go back to Primary school and start again from there 🤣🤣🤣