Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Woooow!!!!… Thank You TPDF marching band.. I was so impressed hearing Kenyan patriotic music as the guard of honor march passed Pres. Ruto and Samia for the salute . Thank You for the generosity…Ruto don’t even get that kind of welcome in Kenya anymore ( so many people cheering).
 
Woooow!!!!… Thank You TPDF marching band.. I was so impressed hearing Kenyan patriotic music as the guard of honor march passed Pres. Ruto and Samia for the salute . Thank You for the generosity…Ruto don’t even get that kind of welcome in Kenya anymore ( so many people cheering).
Jifunze mambo ya Diplomasia. Inaonesha wakenya hamjui mambo ya Diplomasia kuanzia kwa Rais wenu mpaka kwa wananchi. Jana kuna mambo mawili makubwa Ruto kafundishwa.

1. Kutangaza Project kwenye nchi nyingine bila bila taarifa ya wahusika. Kaulizwa swali ajieleze kaanza kujikanyaga kanyaga tu. Swali hilo kwetu sisi watu wa ICT tumelichambua na lipo na majibu mengi mno.

2. Alitakiwa kufika Dar saa nne asubuhi lakini kafika saa saba mchana. Hiyo yote ni kukosa uelewa wa International Relation. So Kama Rais wa nchi anafanya hivyo, how can you trust his people?

3. Waswahili tunajua kwa maneno, wakati Rais Samia anafunga Kongamano, kuna maelezo muhimu sana aliyasema (EAC ilikuwepo na haya waliyoyapendekeza wakenya yalikuwepo, but what happened? Wakati huo watu walikuwaa Educated but now we are learned) Bado wakenya hawataweza kuelewa mpaka 20 years ijayo,
 
walienda Mozambique wakajikuta hawana pa kupita!
Hawajui Tz ni baba wa Mozambique. Tukikunja uso tuu wanajua baba amekasirika na wanafuata maelekezo yetu heshima yetu ipo sio kwaajili ya nguvu za kiuchumi ama kibiashara bali utu tuliowatendea wakati wakitafuta uhuru wao. Diplomatic number plates za gari Mozambique tanzania wamepewa 001 na tanzania house iko kwenye major street in Maputo hii yote ni heshima kwa sacrifice tuliyowafanyia.
 
Mwana Igunga anakimbiza nyangau huko.
Man of the moment! yaani hiyo gas pipeline ni mradi ka-initiate na lazma atakuwepo na hata hiyo refinery yeye ndiye kamuita Dangote kwa baraka ya Museveni atakuwapo pia na uzuri anasikilizana na uongozi wa sasa wa Kenya! Jamaa anacheza calculated moves!
 
Hawajui Tz ni baba wa Mozambique. Tukikunja uso tuu wanajua baba amekasirika na wanafuata maelekezo yetu heshima yetu ipo sio kwaajili ya nguvu za kiuchumi ama kibiashara bali utu tuliowatendea wakati wakitafuta uhuru wao. Diplomatic number plates za gari Mozambique tanzania wamepewa 001 na tanzania house iko kwenye major street in Maputo hii yote ni heshima kwa sacrifice tuliyowafanyia.
Usisahau Chuo Cha Diplomasia kilichopo hapa Dar ni cha Tanzania na Mozambique
 
Back
Top Bottom