stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 35,785
- 34,536
Heheh huu mwaka wabongo wanapiga left right and center 😂 hii ya hospital ni funga mwaka
sasa hio ni common, i guess ni mule mule mambo ya Tanga, ataweka mkono nahisi unajua tena hapendi kukosa sehem za kukoromea watuKagame ambaye ana-avoid EAC summits akija ina maana kuna deal kubwa nyuma yake na kama sikosei SGR to Kigali!