


The thing is ni Mali ya Muzungu, hiyo anatokea wapi sio kazi yangu, Nyie na Sura zenu mbovu hamna chenu hapo Kenya Mnaishia kupiga picha majengo ya wahindi na wazungu na wanasiasa Wakikuyu hapo Westlands.


Hivi hizi picha ni kweli au mnafanya editing ili kuchangamsha mazungumzo?![]()
umasikini na kenya ni dam dam tz huwezi kuta eneo kama hili kamwe![]()
huo ni ukweli kenya kuna watu wanaishi kwenye nyumba za mabati na mabox ngoja niilete eneo linaitwa kangemi utaelewa au google tu kangemi kenya utaletewa pichaHivi hizi picha ni kweli au mnafanya editing ili kuchangamsha mazungumzo?



AiseeeeHili eneo linaitwa kangemi huko utadhani wanakaa machizi kumbe ni watu masikini alafu ndugu zao ndo wanakuja kufix maisha
![]()
![]()
![]()
Ulitaka aingie uko ndani ahairishe safar yake au huoni Ni kapiga picha akiwa kwenye gar





Noma sana mkuu.The opposite side hata wewe unajua ni slums in the CBD.Ulitaka aingie uko ndani ahairishe safar yake au huoni Ni kapiga picha akiwa kwenye gar
Tanzania mobile money transactions reach $22B, Kenya $17B, as usual another defeatThe opposite side hata wewe unajua ni slums in the CBD.
Watu wachache ndo wameshika uchumi wa nchi .bora kuwa na uchumi mdogo ambao kila MTU unamhusu sijawahi ona sehemu kama hiz bongoHili eneo linaitwa kangemi huko utadhani wanakaa machizi kumbe ni watu masikini alafu ndugu zao ndo wanakuja kufix maisha
![]()
![]()
![]()
Serengeti is under EABL headquartered in Ruaraka thika road...I used to work there tusibishanie hioBy Serengeti breweries Company, And EABL ni Mali ya wazungu, don't forget this.
Jamaa walivyo vibaraka Wa wazungu lazima wajaluo wanyanganywe ardhi wawapooze wazungu
Huku Tz kuna nyumba za milioni ishirini sabini kodi ya mwezi Kenya mko nyuma hivyoNilikuwa nasikia hilo jina Oysterbay and I used to think ni mtaa wa maana sana. Kumbe inakaa tu hivi! Hiyo hata kwa hurlingham haifiki robo. Pale Muthaiga na Runda nilizokutajia kuna rental houses za ksh300,000 per month! Hizo ni kama milioni sita za Tanzania. Ndo maana nikakuambia tukileta picha za kule mtakimbia mpotee kule mazense
Kijana acha hasira, Kijiti tushakichukua ni zamu yenu kuzinga..First, wacha kudanganya ulimwengu that Tanzania is building anything close to that. The picture above is not even a three-level interchange. it is a four-level interchange so definitely it's not Ubungo. You have shared millions of pictures of ubungo interchange here so we all know how it will look like. Wadanganye wengine. Secondly, Ubungo will not be East Africa's first three-level interchange. Tulishajenga moja kitambo sana. Google "Pangani interchange". As always, you are just copycats