Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Japo CAF wamekanusha lakini aliyeshauri Tanzania kuungana na Vinchi vya kimaskini na kifala kama Kenya na Uganda mbavyo vinapigania njaa na kula alitukosea sana.

Nchi kama Kenya haina hata Kiwanja kimoja chenye hadhi,wako busy lile sufuria lao lakini hawana viwanja vya mazoezi Wala vigezo vingine vya kiusalama.

Uganda ndio hao wanajikingoja.

Tanzania tuna viwanja 3 ambavyo viko tayari achilia mbali 2 vinavyojengwa na vingine vinginvya mazoezi.

View: https://www.instagram.com/p/DXcAp9QAows/?igsh=djQxeDRtend0N3k2
 
Installation of seats in the third stand.

1000250610.jpg
1000250609.jpg
 
High quality floodlights currently being used in modern stadiums.

Inter Miami New Stadium
1000250740.jpg


Talanta Stadium
1776879844036.jpeg
 
Back
Top Bottom