Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tumewakaribisha Kisumu 😂😂🤣
kuna colagte uko?
1776363241708.png
 
A city with no options, ile ni kama Kigoma tu, hata KFC huwezi pata. 😂 😂
Uwezo mdogo usipigizane kele na mimi. 😂😂😂. Uwezo wa kudhani kuwa na KFC restaurant ni maendeleo ya uchumi.. aah kumamaake tunabishana na mazuzu wa kiwango gani sijui.
 
A city with no options, ile ni kama Kigoma tu, hata KFC huwezi pata. 😂 😂
Hehehe hao ni watu WA vibandaski?😂😂🤣

By the way do Mwanza have any international food joints?😂😂🤣
 
Uwezo mdogo usipigizane kele na mimi. 😂😂😂. Uwezo wa kudhani kuwa na KFC restaurant ni maendeleo ya uchumi.. aah kumamaake tunabishana na mazuzu wa kiwango gani sijui.
Unaona magari zinauzauzwa Kisumu, yani hakuna tofauti na Nairobi na Mombasa.

 
Mimi siombi lift, I use my car to move around. Sina haha ya kusumbua pastor na lifts kila mara😂😂🤣
lakini si unaweza kutoa 100 kwenye GDP pale? haiwezekani ukadhalilika ivo.. yaani mia wanataka kuharibu gari lako
 
Hehehe hao ni watu WA vibandaski?😂😂🤣

By the way do Mwanza have any international food joints?😂😂🤣
Ile ni kama kigoma tu. Hakuna any international presence huko. 😂 😂 😂
 
Uwezo mdogo usipigizane kele na mimi. 😂😂😂. Uwezo wa kudhani kuwa na KFC restaurant ni maendeleo ya uchumi.. aah kumamaake tunabishana na mazuzu wa kiwango gani sijui.
Unajifanya hapa yet when that KFC was launched in Dar you had a national holiday 😂😂🤣
 
Back
Top Bottom