pole sana....wachina walisema hakuna hela inawachiliwa wasipokubaliana....good luck funding that railway...Bora hata umejua, walichojadili hapo hakitatekelezeka.
Hii ni aibu sana kwetu, a whole 8m out of 48m ppl wanakunya vichakani!Sindano imekuingia, dawa imekuingia imebaki kutapatapa na kutokwa povu hadi uisome namba.
la infrastructure kama hizi...aibu tupu
Mimi nilisha wadharau muda sana wakenya kwa kujisaidia kwenye mifuko na kuwa na flying toilet. Mnatembea na vinyesikwanza nilishawadharau nilipoziona airport zao...yaani nje ya Dar ni vihaka tu..watu wanaishi msituni...hakuna basic infrastructure
CBD Tena kando ya zile twin towers kuna slums na daladala what else would be in good condition leave alone the many airstrips?kwanza nilishawadharau nilipoziona airport zao...yaani nje ya Dar ni vihaka tu..watu wanaishi msituni...hakuna basic infrastructure
Pwahahaha huyo jamaa ni ovyo sana...museveni akiongea na kenyatta, jamaa anaenda kuharibia
hapa kazi tunenda Soweto South africa na Mumbai India, lagos na Cairo utapata mambo hayo hayo...ila huwez pata nchi hizi airpirt zinakaa kama vibanda vya kuuzia mboga....kisha mnaita airport😀😀😀Mimi nilisha wadharau muda sana wakenya kwa kujisaidia kwenye mifuko na kuwa na flying toilet. Mnatembea na vinyesi
View attachment 670171
![]()
staki nikuaibishe leo kuhusu aiport😀😀😀
we mjinga sana...sasa unafananisha hio na ile kibanda ya Arusha na Mwanza? na by the way mwanza and arusha are major cities
Mombasa iliwahi kuwa koloni la Said Barghash kipindi akiwa Mtawala wa Zanzibar, baada ya mapinduzi na kabla ya muungano Karume ndio aliwarudishia kenya eneo lao.![]()
![]()
![]()
Hata wakenya wanaogopa sana.![]()
Wakenya wakileta vya kuleta tunaichukua Mombassa.
Msee unajua madai yao lakini au umeandika tu!pole sana....wachina walisema hakuna hela inawachiliwa wasipokubaliana....good luck funding that railway...
bila kusahau mitungi ya chang'aa
soma😀😀😀Msee unajua madai yao lakini au umeandika tu!
heheeee pole pia