Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

sioni umuhimu wa commuter trains kabla ya BRT ya barabara ya Mandela haijakamilika! wanapaswa wajipange vizuri!
Ni mradi wa mda kidogo unaingia mpaka kule pugu kwahio kuondoa sio wise move, alafu ni kama school bus wanafunzi wanajaa sana kule, japokua wanaendelea na ujenzi wa TRAM ambao sasa ni ndan ya mji tu
 
Ni mradi wa mda kidogo unaingia mpaka kule pugu kwahio kuondoa sio wise move, alafu ni kama school bus wanafunzi wanajaa sana kule, japokua wanaendelea na ujenzi wa TRAM ambao sasa ni ndan ya mji tu
unamaanisha treni za Mwakyembe? ohk tutumie picha basi!
 
Back
Top Bottom