Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,691
- 107,133
Hii ndio steti of ze ati yao sio? Ila jamaa wachafu kinoma aisee.
capital of Africa banaHii ndio steti of ze ati yao sio? Ila jamaa wachafu kinoma aisee.
unajua hata diesel ni expensive in kenya than in ugandaHata ya TZ inapaswa ishuke mpaka kwenye 5 cents ili kuvutia investment kwenye viwanda
Kila kitu huko ni expensive hata unga bei juu.unajua hata diesel ni expensive in kenya than in uganda
atleast unga unaweza sema hawalimi ila diese; bandari hio apo 🤣 🤣Kila kitu huko ni expensive hata unga bei juu.