Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

So Nyeri, a small town, got its first escalator in 2014 and Mbeya, your fourth largest city, got in in 2026 na huoni aibu kupost?
Mbeya imechelewa kupata malls ndio maana. Kitu kilichofanya Mbeya iwe jiji kubwa lenye mzunguko wa hela na GDP kubwa ni biashara ya mazao na kilimo. Hiyo ndio biashara kubwa zaidi Mbeya na sio malls
Recently ndio Mbeya imeanza kugrow kwenye biashara nyingine kama malls, hotels, restaurants, plaza nk zinajengwa kwa wingi now
 
🤣 🤣
BTW, does Arusha have an escalator? Mimi sijawai ona mall ya maana Arusha. In Kenya, any town with over 70k people huwezi kosa escalator.
🤣😂🙌Sasa jamaa Kama huyu amemwaga meno yake yote njee just because amepanda escalator kwa mara yake kwanza, you can just imagine ile level of ushamba you would expect from other 'cities' .Other than hio ushuzi yao Dar, I doubt wether their is any other city with an escalator huko...
Screenshot_20260220_092004_TikTok.jpg
 
🤣 🤣
BTW, does Arusha have an escalator? Mimi sijawai ona mall ya maana Arusha. In Kenya, any town with over 70k people huwezi kosa escalator.
Arusha is proper city mzee wacha ufala! None of ur cities za upuuzi can match Arusha! be it on quality facilities or entertainment! the only thing that was missing was standard airport that is now there n round the clock wakati Bus terminal na Samia stadium zinajengwa!
 

😂😂😂 hebu oneni hii mnyawezi ... boss unazidi kujiabisha wewe ... imagine unalinganisha kakamega! Another small town with your 4th biggest 'city'. Again, Kakamega got it in 2023 while mbeya finally gets it in 2026. Wow! kenyan small village towns competing with Tanzanian biggest 'cities'👏👌😂...
 
😂😂😂 hebu oneni hii mnyawezi ... boss unazidi kujiabisha wewe ... imagine unalinganisha kakamega! Another small town with your 4th biggest 'city'. Again, Kakamega got it in 2023 while mbeya finally gets it in 2026. Wow! kenyan small village towns competing with Tanzanian biggest 'cities'👏👌😂...
😂😂😂🤣
 
🤣😂🙌Sasa jamaa Kama huyu amemwaga meno yake yote njee just because amepanda escalator kwa mara yake kwanza, you can just imagine ile level of ushamba you would expect from other 'cities' .Other than hio ushuzi yao Dar, I doubt wether their is any other city with an escalator huko...View attachment 3546491
Usishangae hata huko Dar is a slum wengi wao hawajawai tumia escalator. 😂 😂 😂 Unajua huko kwao malls ni vitu za matajiri tu. 70% of Dar is a slum is slums na shamba za mihogo na hizo area huwezi pata malls.
 
Ndio,
Wagons za Tanzania ni ndefu zinaweza kubeba containers mbili kwa kila wagons.
Sasa ile doublestscks walizokuwa wanashangilia ni nini. 😂😂😂
Na mbona waliacha kubeba!
wacha maswali yasiyo na maana mzee! Doublestack wagon pia inawezekana kwa wagon ndefu! Pitia design ya ujenzi wa SGR Tanzania! usiwe mbishi hata Ukunduni ukiangalia vizuri zile container za chini ni mbili na fupi na ndivyo inavyotakiwa kwenye kubeba doublestack wagons! Ya juu inakuwa moja na ndefu kwa usalama!
 
wacha maswali yasiyo na maana mzee! Doublestack wagon pia inawezekana kwa wagon ndefu! Pitia design ya ujenzi wa SGR Tanzania! usiwe mbishi hata Ukunduni ukiangalia vizuri zile container za chini ni mbili na fupi na ndivyo inavyotakiwa kwenye kubeba doublestack wagons! Ya juu inakuwa moja na ndefu kwa usalama!
Mzee hujui kusoma au huwa unasoma na mihemuko! 😂😂😂
Post yangu mbona inakubaliana na ulichoandika, mbona hakuna ubishi hapo!
 
Usishangae hata huko Dar is a slum wengi wao hawajawai tumia escalator. 😂 😂 😂 Unajua huko kwao malls ni vitu za matajiri tu. 70% of Dar is a slum is slums na shamba za mihogo na hizo area huwezi pata malls.
🤣😂 so inamaanisha huko malls zinatumika tu na upperclass , wasanii, politicians na the super rich...basi Inafaa washukuru sana TRC kwa ku install escalator kwa hio station hapo dar ... otherwise wengi wao wangebaki kuona escalator tu kwa movies nakusema ni AI😂😂😂...
 
Back
Top Bottom