Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Meanwhile a town of nearly 200K people in Kenya 😂😂😂
View attachment 3546246
A city of 600k Hapa ukiwa na gari unaiwacha kwa petrol station ju huwezi access nyumba yako ukitumia gari. 😂 😂 😂

WXY214.jpg
 
Nitajie slum ya Dar ya kufananisha na Kibera kama ipo
Kwani hizo nyumba zenu munaweza access na gari? Nyumba inauzwa alafu unaskia wameongezea point, huwezi kufika ukitumia gari. 😂 😂 😂 Choo nje, jikoni nje, dirisha ni machuma tu ju ukiweka vioo jotoo ya dar is a slum itakuua kama huna fan ama AC. That's proper slum life my G.
 
Kwani hizo nyumba zenu munaweza access na gari? Nyumba inauzwa alafu unaskia wameongezea point, huwezi kufika ukitumia gari. 😂 😂 😂 Choo nje, jikoni nje, dirisha ni machuma tu ju ukiweka vioo jotoo ya dar is a slum itakuua kama huna fan ama AC. That's proper slum life my G.
Sawa, taja majina ya hizo slums
 
Back
Top Bottom