Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

picha za talanta zimekua adimu sana humu, ngoja tusaidie kupost 🤣🤣
1768993983227.png
 
Ndio maana CHAN serikali yao ilikuwa inanunua tickets zote halafu wanagaiwa. 😂😂😂
Kama tu bajeti ya timu moja ya Tanzania ni bajeti ya ligi yao nzima unategemea nini!
Wewe Scammer anaongea hapa na serikali yenu even after buying for you tickets bado mlishindwa kufika uwanjani juu hamkupewa transport za bure pia😂😂
 
Back
Top Bottom