Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ngao ya kizulu ni tofauti na ile ya kisukuma, au ya kimasai, sasa nilitaka kujuwa kama hii yenu inawakilisha ngao ya kabila fulani ama laa? You seem triggered though. I wonder why?
Haya, tuambie Ile ya coat of arms yenu ni ya kabila Gani.πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Subirini mchezo wa kimaskini, mambio km 100,000 lkn kwenye soccer ⚽ mchezo mashuhuri zaidi duniani mtangoja sanaaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡°πŸ‡ͺπŸ–•πŸ–•πŸ–•πŸ–•
 
Wakenya endeleeni kusubiri stars ishinde mechi kule Afcon πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‘‰πŸ‘‰πŸ’©πŸ’©
 
Wakenya sio wastaarabu, huwezi ku argue na mkenya kistaarabu hata siku moja, tulijaribu hivyo kipindi uzi unaanza ikashindikana.
 
Ukunduni means a place with red color i.e. KQ! Like Dogo Kundu! The pride of Dongo Kunduni! Wacha kimbelembele!
acha hizo mkuu, sisi ni watu wastarabu kama watanzania hatuna malezi ya kutukana ovyo, ushindani uendelee katika lugha nzuri inapendeza zaidi, pia unaonekana una point kubwa ya kuelezea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…