Sisi tunajaza uwanjaa sisi tunajaza uwanjaaa, ukweli umebainika sasa kwamba walikuwa wanavunja mageti kuingia bure ili kushindana na Tz eti waonekane wanapenda mpira kuliko watanzania. Wamekula kitombo heavy na uwanja hauna watu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
View: https://youtu.be/0Oo9nauKLZo?si=J7n7fbfg9XtYsOMh
Hawana a dedicated RoRo berth hao containers, gari na steel zote zinashushwa sehemu moja. Most car carriers prefer Dar port due to an efficient dedicated port for roro hakuna kukaa foleni Dar
Wacha tuwaachie wahost.🤣CAF can't allow that. Both opening ceremony and finals will be held at Makwapa 🤣🤣 🤣 🤣
Zile vituko tumesikia huku! Wacha tu!
The watchman is a vain man.“Running track ndio hile pale” hiyo pia ongeza Sauti ya watchman Akilazimisha Talanta Stadium to have a running track😂😂
ok well noted.Kwa RoRo vessels Zina prefer kuwa na efficient RoRo terminals kwa ajili ya kurahisisha upakiaji na ushushaji wa magari. Ni gharama sana ku operate RORo vessels maana mara nyingi hazina mzigo wa kupakia...huwa Zina shusha tu. Kukiwa na bandari ambayo Haina special terminal ni loss kwao kupoteza muda.
Ndio maana kusafirisha gari kwa RoRo vessels ni ghali zaidi kuliko kulisafirisha likiwa ndani ya container.
Typical of Singapoor, where dirt and people co-exist in perfect harmonykorogocho slum 🙌🏻🙌🏻🙌🏻
View attachment 3488939
Chanzo wamecopy utaahira wenu mnaodanganyana, chanzo ndio Kenya bureau of statistics?
Zaidi ya 3k na gari hazikai hapo zaidi ya siku 2 zimeshawaishwa icds, yards na za in transit systems zipo efficient mno ni chap zimehama.Hivi capacity ya ku hold magari hapo berth 0 ni gari ngapi at a go?
Unatamani Mombasa iwe part of Tanganyika? ,🤣🤣And we will claim back the entire coastal strip and make Kenya a landlocked country how about that for starters?