Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii road ni kama waliojenga hawana akili aisee, hapa kutatokea ajali mara kwa mara, education ya kenya ni mavi kabisa.
downloadfile-59.jpg
 
Kulikuwa na sababu gani ya kujenga mabarabara yote hayo porini ambako hakuna hata traffic?
Uganda Road (A104) that passes through Eldoret CBD is a trunk road (To Uganda and South Sudan). Eldoret is not known for a robust road network compared to other towns and cities in Kenya. The bypass construction was a masterclass because it not only decongests the city roads but also diverts trucks and other heavy-duty vehicles, thereby reducing travel time to neighbouring countries.
Kuna maendeleo vinavyo fanywa Kenya kwa sababu ya picha kubwa (bigger picture).
 
Mbn unaweka picha za jangwani ya zamani? Jangwani ilishavunjwa watchman Nicxie
The pot calling the kettle black! Hizo za last year na this year pia zilishavunjwaView attachment 3485110View attachment 3485111View attachment 3485109
unaokota picha miaka mingap nyuma mbona hutafuti za hvi karibuni 😂😂😂
au huna taarifa jangwani bridge iko under construction??

na kwann utumie hasira


View: https://youtu.be/lFQK1D8rEuQ?si=ayYaSPDd5k87l-01

Kujifanya kipofu is not my problem zeruzeru
Dofoto_20251008_171423601.jpg
 
Kulikuwa na sababu gani ya kujenga mabarabara yote hayo porini ambako hakuna hata traffic?
Mbona unaumwa na maendeleo ya watu wengine? Kwani hela ni zako? Si Kila siku mnasema hapa Kenya hakuna miradi ya maendeleo inaendelea? Kwamba kazi yetu ni kupost magorofa? Sasa tukipost miradi zetu tena mnakerwa! Hivi, nyinyi ni watu sampuli gani hii?
 
Ipo siku mtakuja kurekebisha makosa yenu.
Hata Nairobi, mtakuja kushtuka mshachelewa
View attachment 3485231
Ipo siku mtakuja kurekebisha makosa yenu.
Hata Nairobi, mtakuja kushtuka mshachelewa

And the same person was celebrating night and day when they constructed this a few years ago.
sddefault (10).jpg


What a bunch of hypocrites!!
 
Mbona unaumwa na maendeleo ya watu wengine? Kwani hela ni zako? Si Kila siku mnasema hapa Kenya hakuna miradi ya maendeleo inaendelea? Kwamba kazi yetu ni kupost magorofa? Sasa tukipost miradi zetu tena mnakerwa! Hivi, nyinyi ni watu sampuli gani hii?
Chill, ni maoni huru tuu, sijatukana wala kubeza.
 
hio ni picha wametumia lakini ni picha ya zamani sana hio mzee na kitu hujui ni kua kun cnstruction ya bridge kubwa sana hapo inaendelea na hio ni floods inayosababishwa na river sio barabara
Hii insha unaandika hapa ni ya nini sasa? Just prove that the date indicated there is not correct
 
Back
Top Bottom