The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Hii road ni kama waliojenga hawana akili aisee, hapa kutatokea ajali mara kwa mara, education ya kenya ni mavi kabisa.
Uganda Road (A104) that passes through Eldoret CBD is a trunk road (To Uganda and South Sudan). Eldoret is not known for a robust road network compared to other towns and cities in Kenya. The bypass construction was a masterclass because it not only decongests the city roads but also diverts trucks and other heavy-duty vehicles, thereby reducing travel time to neighbouring countries.Kulikuwa na sababu gani ya kujenga mabarabara yote hayo porini ambako hakuna hata traffic?
The pot calling the kettle black! Hizo za last year na this year pia zilishavunjwaView attachment 3485110View attachment 3485111View attachment 3485109Mbn unaweka picha za jangwani ya zamani? Jangwani ilishavunjwa watchman Nicxie
unaokota picha miaka mingap nyuma mbona hutafuti za hvi karibuni 😂😂😂
au huna taarifa jangwani bridge iko under construction??
na kwann utumie hasira
View: https://youtu.be/lFQK1D8rEuQ?si=ayYaSPDd5k87l-01
Mbona unaumwa na maendeleo ya watu wengine? Kwani hela ni zako? Si Kila siku mnasema hapa Kenya hakuna miradi ya maendeleo inaendelea? Kwamba kazi yetu ni kupost magorofa? Sasa tukipost miradi zetu tena mnakerwa! Hivi, nyinyi ni watu sampuli gani hii?Kulikuwa na sababu gani ya kujenga mabarabara yote hayo porini ambako hakuna hata traffic?
Underline the world "reportedly"Halafu utawapata wakiwacheka Wahadzabe. 😂😂😂
View attachment 3485242
hio ni picha wametumia lakini ni picha ya zamani sana hio mzee na kitu hujui ni kua kun cnstruction ya bridge kubwa sana hapo inaendelea na hio ni floods inayosababishwa na river sio barabaraThe pot calling the kettle black! Hizo za last year na this year pia zilishavunjwaView attachment 3485110View attachment 3485111View attachment 3485109
Kujifanya kipofu is not my problem zeruzeru
View attachment 3485635
Ipo siku mtakuja kurekebisha makosa yenu.Ipo siku mtakuja kurekebisha makosa yenu.
Hata Nairobi, mtakuja kushtuka mshachelewa
View attachment 3485231
Chill, ni maoni huru tuu, sijatukana wala kubeza.Mbona unaumwa na maendeleo ya watu wengine? Kwani hela ni zako? Si Kila siku mnasema hapa Kenya hakuna miradi ya maendeleo inaendelea? Kwamba kazi yetu ni kupost magorofa? Sasa tukipost miradi zetu tena mnakerwa! Hivi, nyinyi ni watu sampuli gani hii?
Hii insha unaandika hapa ni ya nini sasa? Just prove that the date indicated there is not correcthio ni picha wametumia lakini ni picha ya zamani sana hio mzee na kitu hujui ni kua kun cnstruction ya bridge kubwa sana hapo inaendelea na hio ni floods inayosababishwa na river sio barabara
Hakuna aliyesema umetusi mtu. Just that I don't like hypocrites!Chill, ni maoni huru tuu, sijatukana wala kubeza.
Sasa wewe watchman what do you know about road construction? Umekuwa road engineer all of a sudden?Hii road ni kama waliojenga hawana akili aisee, hapa kutatokea ajali mara kwa mara, education ya kenya ni mavi kabisa.View attachment 3485449
Kama kuna kitu nime trigger, pole sana.Hakuna aliyesema umetusi mtu. Just that I don't like hypocrites!
Kwamba!Underline the world "reportedly"
It carries a lot of meaning
Nyie ni watuy wajinga sana.