concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,309
- 14,330
Muda mwingine ni wakuwaonea huruma tu, wanafiki wa afrikaHawa wakunya wengi hawajawahi kutoka hata nje ya Kibera
Muda mwingine ni wakuwaonea huruma tu, wanafiki wa afrikaHawa wakunya wengi hawajawahi kutoka hata nje ya Kibera
Tazama post yangu ya mwanzo Au hujui kiswahili?Sasa nimedanganya nini hapo?
Sasa Modogashe imekuwa Mandera? 🤣 🤣 🤣
Mimi na wewe nani anapenda uongo? Ni mara ngapi nimekuvua humu ukatoroka mjadala? Umesema Modogashe, alafu unaleta Mandera. Huo sio uongo? Anyway, the road is under construction and you know it.
The problem with you is, you're too emotional on your responses to issues.
Mzee hio barabara Iko U/C Isiolo-Mandera. Kuna section tayari ziko complete mfano Rhamu - Mandera rd
Isiolo - Mandera over 700km
Isiolo -Garissa - Lamu over 500km
Zote zinajengwa concurrently, si hua munasema Kenya hakuna projects. 🤣🤣🤣 Ebu tuonyeshe ni wapi bongoslum munajenga highway ya 1200km ju tayari tumeona muna highway ya 500km ya vumbi. 🤣🤣🤣
View: https://x.com/FCDCKenya/status/1960919277847896377?t=EdKjgJBriePY5pg79gnFNg&s=19
View: https://x.com/lapsset/status/1950530637401645403?t=fMl1oASLOI89EwXn1_WYCg&s=19
View: https://vm.tiktok.com/ZMA6ShALs/
Nairobi to mandera🤣🤣
Jamani hii si kama zile king msukuma ambazo hazitakiwi hata kukanyaga lami sababu sababu zitachafua
kama kwetu huku hatuna tofaut 😂😂🙌🏻
from 55 to 107 in 4 good yrs
View: https://x.com/ephraimnjegafan/status/1962170742398652508?s=46
Leo hii ushaajua maana ya Nairobi Metro yet tukiongelea ukubwa wa jiji mnajifanya hamuelewi kitu kabisa. Alafu ni wewe wa kuita watu waongo.Tazama post yangu ya mwanzo Au hujui kiswahili?
Kwanza Barabara nyingi za vijiji central Kenya ni mavumbi matupu.
Miji Mingi within Nairobi Metro Zina mavumbi kibao. Anza na kitengela, kajiado, Ruiru, Kikuyu, Thika nk.
Mr. Geuzwa, hizo airlines zinazotua Zanzibar directly ni zile zile zilizokataliwa kutua Mombasa. Tunapokea watalii wengi wa nje kuwaliko kwahio hizo international flights tulizokataa hazina msaada mkubwa kwenu 🤝empty handed? kinyeo chako! Hotel Mombasa zisingekuwa empty!
Yani wenye wanajua ni "kabaya" 😂Kama kawaida Vumbistan 🤣 🤣 🤣
![]()
View: https://vm.tiktok.com/ZMA6ShALs/
Nairobi to mandera🤣🤣
Jamani hii si kama zile king msukuma ambazo hazitakiwi hata kukanyaga lami sababu sababu zitachafua
Ile account yako ya COLLOH MZII REBORN uliiachana nayo baada ya kupigwa ban kila siku?Mr. Geuzwa, hizo airlines zinazotua Zanzibar directly ni zile zile zilizokataliwa kutua Mombasa. Tunapokea watalii wengi wa nje kuwaliko kwahio hizo international flights tulizokataa hazina msaada mkubwa kwenu 🤝
Wewe naona wataka mumeIle account yako ya COLLOH MZII REBORN uliiachana nayo baada ya kupigwa ban kila siku?