Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 33,880
- 32,656
Huyo nyang’au inawezekana kabisa ni Teargass😎Leo katika kupita mitandaoni nikakuta clip ya goli la stars mechi ya juzi,halafu kuna mkunya kacomment "nyie watanzania mzifunge timu zingine,siku mkiifunga kenya mkatafute uwanja wa kuchezea match zenu,mimi nikamuuliza kwenye comment,kwani huo uwanja upo wapi,jamaa bila aibu akadai pale ni kisirani,kunyan wengi wamejichimbia kibera na hawajui kuhusu nchi nyingine,maku kweli hawa jamaa