President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,767
- 89,793
Getty Images ni Store ya Images, Any Person can post. But hiyo picha ni Isuzu Motors South Africa (IMSAf)
Original Source hii hapa:
Getty Images ni Store ya Images, Any Person can post. But hiyo picha ni Isuzu Motors South Africa (IMSAf)
Wewe ndio mjinga, all cars are built on an assembly line, whether it's an automated assembly built by robots, manual assembly built by humans or CKD assembly. Parts manufactured elsewhere are usually put together on an assembly line to produce a car.Acha ujinga hizo engine wala chassis na other parts hazijatengenezwa Kenya hizo zimekuja kama CKD parts for assembly tuu. Nyie zaidi ya kukaza bolts and nuts hamna akili nyingine hapo.
You said 100% made in Kenya hapo ndipo tunapotofautiana wakati we know you don't manufacture any vehicles except BJ50 and 60 models. Kama unabisha niweke picha za magari ambayo mnatengeneza hapo?You think they are 20 year old 2nd hand imports kama zile Rosa za kwenu. Isuzu are assembled in Kenya.
Kumbe South Africa iko East Africa.🤣🤣Getty Images ni Store ya Images, Any Person can post. But hiyo picha ni Isuzu Motors South Africa (IMSAf)
Original Source hii hapa:
Yes 100% ju hio gari haikujengwa on an assembly line in another country. Ndio maana chassis huandikwa produced in Kenya.You said 100% made in Kenya hapo ndipo tunapotofautiana wakati we know you don't manufacture any vehicles except BJ50 and 60 models. Kama unabisha niweke picha za magari ambayo mnatengeneza hapo?
Hizi gari TZ hubebea matikiti na mihogo tuu toka shamba nyie huko kaskazini mnabebea nini nazo?Kwikwikwi utamdanganya nani nairobae mnabadilisha malori kuwa matatu
View attachment 3414180
Soma hapa:
![]()
Exploring ISUZU NQR81 Matatu Investment Opportunities through Sacco Ventures - Lydia Isuzu Trucks
The purpose of transportation is to connect people, and we at ISUZU pride ourselves on doing beyond that. The ISUZU NQR81 33-SEATER MATATU is a workhorse like no other. A good workhorse does one thing well: Generate Income. They generate income because the Total Cost of Ownership (TCO) is...www.lydiaisuzutrucks.com
Isuzu model zilizokubaliwa na NTSA ni ISUZU NQR81M COWL
Hizi hapa:
View attachment 3414182
flights za Arusha Zanzibar zipo way back than that! Wacha upumbavu! nipe flights za Eldoret Mombasa au Kisumu-Eldoret!Na ni 2020!!
Hii ndio inaitwa maskini akipata 2025 matako hulia mbwata ama😂
Umesoma mpaka darasa la ngapi?Wewe ndio mjinga, all cars are built on an assembly line, whether it's an automated assembly built by robots, manual assembly built by humans or CKD assembly. Parts manufactured elsewhere are usually put together on an assembly line to produce a car.
Unadhani Isuzu hua wanaunda gari complete then wanabomoa to ship it to Kenya to be re-assembled again. 🤣🤣🤣
Ilianzia hapa 2020Na ni 2020!!
Hii ndio inaitwa maskini akipata 2025 matako hulia mbwata ama😂
Kwanza nahangaika kubishania Isuzu, mbona napoteza muda wangu. Isuzu zilitumika sana hapa Tanzania miaka ya 80s, but now sijui kama zipo nina miaka sijawahi kuziona
Embu utuambie hizo matatu ni model gani kwanza ndio tuanze kuchangia vizuri 😁Kwa hivyo Matatus are manufactured in Japan. 🤣🤣 Mimi sijawai kuona nganya Japan.
So according to you a car for instance Isuzu is called that because of hilo kopo mlilo fabricate au sio? Kama ni hivyo tupe model za matatu tujiridhishe kwanza.Manufacturing of chassis and engines is not building a car. A car is built by assembling different manufactured car parts together.
Sawa tuambia sasa nyie ni model gani mna manufacture hapo Kenya? Sisi Tanzania tuna Nyumbu nyie ni modeli gani?Where a car is assembled ndio hua inaandikwa. Cars assembled in Kenya hua zinaandikwa produced in Kenya. Cars parts can be manufactured from different countries, unaweza pata engine na body imetengenezwa Japan, chassis imeundwa South Africa na electronic parts zimeundwa Germany. Where all this parts are assembled together to build a complete car ndio hua inaandikwa hio gari imetengenezewa wapi.
Mwamba aliushtukia mtego wako akapiga kimya 🤣🤣🤣🤣Brother achakukwepesha mada. We all know Car zinazotengenezwa kenya ni Laikipia BJ 50 🤣 🤣 🤣 🤣 Nilikuwa nakutega tu nione kama utaleta tofauti na hizi. But umeona aibu
View attachment 3414264
New prototype
Yaani mtu mzima kabisa na Odinga yupo, wanaenda kushuhudia ujinga huo hata mtoto wangu wa miaka 7 can do better than that.New prototype