Kama unajiamini twende jengo moja baada ya moja nimewaambia ajitokeze mkenya anaejiamini aje hapa wote mmeingia mtini hahhahahaha😀😀😀😀😀 uko tayari tuanze hapaebu tuletee zile photo zako za tpa na pspf mkuu....🙂🙂🙂🙂🙂😀😀😀😀😀😀😀😀
sina picha mimi...mi si photographer.Kama unajiamini twende jengo moja baada ya moja nimewaambia ajitokeze mkenya anaejiamini aje hapa wote mmeingia mtini hahhahahaha😀😀😀😀😀 uko tayari tuanze hapa
Hahahhaha siunaona sasa mimi nawajua vzr nyie ndio maana hua hamnisumbui😀😀😀😀😀😀sina picha mimi...mi si photographer.
sasa cha ajabu nikipi nkisema sina picha....tuna kazi tofauti tofauti but atajitokezea tu mmoja mwenye ako nazoHahahhaha siunaona sasa mimi nawajua vzr nyie ndio maana hua hamnisumbui😀😀😀😀😀😀
Alikuja mmoja akajifanya mbabe akapotea akaja deepey nae akachomoka hahaha sasa mkiambiwa nairobi ndogo inamajengo machache hamutaki hahhahahha😀😀😀😀😀sasa cha ajabu nikipi nkisema sina picha....tuna kazi tofauti tofauti but atajitokezea tu mmoja mwenye ako nazo
JNICC Huwezi compare na KICC.[/QUOTE
Bila shaka we ulishapelekw labour room kwa chukihapo nmesema feelings peleka labour room....heheeee
Unafkiri watakubali hahahha hawawez macho yanaona lakin moyo hautaki unaumaHahahaa seriously? U r a jock
sina chuki na tz ndugu...... tz ikiendelea pia kenya itaendelea.mfano tu...ingekua tz imeipatia kenya changa moto since independence am very sure saa ii these two countries zngekua mbali sana.sna chuki unless uwe unayo weweBila shaka we ulishapelekw labour room kwa chuki
Kama huna chuki kubali dar kubwa kuliko nairobi tena kubwa sanahahahhahaa na 2018 tutaanza kuwauzia umeme wakutosha so be ready my friendsina chuki na tz ndugu...... tz ikiendelea pia kenya itaendelea.mfano tu...ingekua tz imeipatia kenya changa moto since independence am very sure saa ii these two countries zngekua mbali sana.sna chuki unless uwe unayo wewe
naona una uzalendo kweli but kicc is better and bigger than jnicc....tafuta info wakati wako mwenyeweHahahaa seriously? U r a jock
naona una uzalendo kweli but kicc is better and bigger than jnicc....tafuta info wakati wako mwenyeweHahahaa seriously? U r a jock