Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nimeulizia mmewai host event gani kama iyo shamba ni modern?
hatujahitaji kufanya hvo kwa sasa hvi bado tunakazi nyingi za kufanya wakati ukifika tutafanya hosting na usisahau dodoma ujenzi wa kisasa uwanja utakua mkubwa wa pili africa ujenzi ushaanza na cost yake ni 100m usd😀😀😀😀😀😀😀
 
hio ndio indoor arena????? wapi swimming pool ina place spectators wanakalia kama hii???
images (2).jpg
 
hatujahitaji kufanya hvo kwa sasa hvi bado tunakazi nyingi za kufanya wakati ukifika tutafanya hosting na usisahau dodoma ujenzi wa kisasa uwanja utakua mkubwa wa pili africa ujenzi ushaanza na cost yake ni 100m usd😀😀😀😀😀😀😀
bongolala...ata African cup hamjawai qualify mchezo mnaweza ni uchawi pekee
 
bongolala...ata African cup hamjawai qualify mchezo mnaweza ni uchawi pekee
asante kwa maumivu kuhusu modern stadium in east and central africa na sasa tunajenga giant modern stadium in africa ujenzi ushaanza dodoma kaa mkao wa kula, cost yake 100m usd, ita handle watu 90,000
 
asante kwa maumivu kuhusu modern stadium in east and central africa na sasa tunajenga giant modern stadium in africa ujenzi ushaanza dodoma kaa mkao wa kula, cost yake 100m usd, ita handle watu 90,000
mnajenga na hata hakuna sport mnafaulu..Misplaced priorities
 
Back
Top Bottom