Sisi tuna cha kwetu, mpakani na Kenya.Kwani kina ulazima kwetu sisi TZ kwa kiasi hicho!?
Na wao wanacho upande wao.
Inasaidia mkitaka kuuziana umeme. Inakuwa rahisi.
Unaona kama hapo, wao wanapokea umeme 300MW kutoka Ethiopia..
100MW zinakuja TZ kwaajili ya mikoa ya Kaskazini.
Maana TANESCO wanasema kusafirisha umeme wetu mpaka mikoa ya Kaskazini ni gharama kubwa.