Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani kina ulazima kwetu sisi TZ kwa kiasi hicho!?
Sisi tuna cha kwetu, mpakani na Kenya.

Na wao wanacho upande wao.

Inasaidia mkitaka kuuziana umeme. Inakuwa rahisi.

Unaona kama hapo, wao wanapokea umeme 300MW kutoka Ethiopia..
100MW zinakuja TZ kwaajili ya mikoa ya Kaskazini.

Maana TANESCO wanasema kusafirisha umeme wetu mpaka mikoa ya Kaskazini ni gharama kubwa.
 
Sisi tuna cha kwetu, mpakani na Kenya.

Na wao wanacho upande wao.

Inasaidia mkitakankuuzia na umeme. Inakuwa rahisi.

Unaona kama hapo, wao wanapkea umeme 300MW kutoka Ethiopia..
100MW zinakuja TZ kwaajili ya mikoa ya Kaskazini.

Maana TANESCO wanasema kusafiro
isha umeme wetu mpaka mikoa ya Kaskazini ni gharama kubwa.
Anhaa hapo nimekupata.
Kwanini TANESCO isiunde vyanzo vya uzalishaji umeme kwa kuhudumia kanda ya kaskazini?
 
Kuna mradi wa umeme wa jua Shinyanga, 150MW.
Kuna miradi ya Geothermal Sonvwe.

Kaskazini naona hakuna mradi.

Ingawa kuna potential ya Geothermal pia
Labda watafikiria ama huwenda watafikiria baadae.
Maana Tanga kuna vyanzo hata vya HEP vinavyoweza kuzalisha umeme na ukatumika kanda ya mashariki na kaskazini.
 

American Football is a dangerous sport , not for the faint hearted .I remember this college game . Longhorns (Texas) vs Red Raiders ( Texas Tech) This play looks terrible on slow motion. Luckily Running back Bijan Robinson survived and even got drafted and went pro. He’s making millions now , makes the hit worth it I guess.
 
Back
Top Bottom