Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Arusha inawakalia kooni wakenya

Huu ni uwanja gn????
IMG-20250618-WA0006.jpg
 
Damn hizo F35's are something else.😱🫡
Western propaganda, shallow minded kama ya Tiwa gas haezi jua chochote, jana Iran ilishambulia tena Tel aviv na wametangaza kudhibiti anga ya Israel. 👇🏾
View: https://youtu.be/SHsL02QrQ48?si=-kFY8k7MSpXqG4pK. Ukumbuke hii ni 9th wave of attacks. Iran sahii iko na mission ya ku delete Israel. Hii ni usiku wa kuamkia leo 👇🏾
View: https://youtu.be/gYMnnjlQtZM?si=jhgAdZpFBDXa5Od7.

Hizi vitu huwezi kuona kwa western media.
 
Western propaganda, shallow minded kama ya Tiwa gas haezi jua chochote, jana Iran ilishambulia tena Tel aviv na wametangaza kudhibiti anga ya Israel. 👇🏾
View: https://youtu.be/SHsL02QrQ48?si=-kFY8k7MSpXqG4pK. Ukumbuke hii ni 9th wave of attacks. Iran sahii iko na mission ya ku delete Israel. Hii ni usiku wa kuamkia leo 👇🏾
View: https://youtu.be/gYMnnjlQtZM?si=jhgAdZpFBDXa5Od7.

Hizi vitu huwezi kuona kwa western media.

Truth to be said, hii vita Iran hawezi ku-withstand! Ukiangalia vizuri mamluki wamejaa katika serikali ya Iran yaani kumekuwa na uvujishaji mkubwa wa intelijensia na Wairan wenyewe walio jeshini na sector zoote muhimu!

Kiufupi duniani kote Majenerali huwa hawauwawi kirahisi namna ile! Halafu zile drones zimeingizwa na hao Wairani vibaraka wa Israel!
 
F35 more than 5 zimedondoshwa kama maembe na Iran
Iran air defense system yao iko powa kuliko Iron Dome, hizi video zinaonyesha vile makombora ya Israel yanavyodunguliwa huko Iran sahii. 👇🏾
View: https://youtu.be/mRfGQ9ORvKs?si=y98AHd05MpKbag1l.

Kama si umamluki wa watu wa Iran 🇮🇷 hii Vita Israel anapigwa (anaendelea kila kichapo) na America akitia pua pia anakula kichapo. Iran anayo backup ya Russia na China 🇨🇳 kule BRICS.

Sahii Tel Aviv, Haifa na Jerusalem hazina tofauti na gaza zote zimechakazwa vibaya mno.

Kunyans hawajui hayo kwasababu ni kondoo wafata mkumbo wa western propaganda.
 
Hii vita Iran hawezi ku-withstand! Ukiangalia vizuri mamluki wamejaa katika serikali ya Iran yaani kumekuwa na uvujishaji mkubwa wa intelijensia na Wairan wenyewe walio jeshini na sector zoote muhimu!

Kiufupi duniani kote Majenerali huwa hawauwawi kirahisi namna ile! Halafu zile drones zimeingizwa na hao Wairani vibaraka wa Israel!
Waajemi, Trukic, Mongols na Chenese walikuwepo kabla ya wazungu. Wanaijua dunia hii zaidi
 
Western propaganda, shallow minded kama ya Tiwa gas haezi jua chochote, jana Iran ilishambulia tena Tel aviv na wametangaza kudhibiti anga ya Israel. 👇🏾
View: https://youtu.be/SHsL02QrQ48?si=-kFY8k7MSpXqG4pK. Ukumbuke hii ni 9th wave of attacks. Iran sahii iko na mission ya ku delete Israel. Hii ni usiku wa kuamkia leo 👇🏾
View: https://youtu.be/gYMnnjlQtZM?si=jhgAdZpFBDXa5Od7.

Hizi vitu huwezi kuona kwa western media.

Ulipata haki yako?


View: https://youtube.com/shorts/I2MrMwbS4Aw?si=7NVBaHaeSgoiOFGc
 
Back
Top Bottom