Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,919
- 103,791
hebu kwanza tuoneshe hzo 30 blocks 😂😂 alaf zije 45 au waona watu wote ni wajinga kama nyie kazi kujisifia uongo tuTena sio 15 blocks? Next sasa utaona 45 blocks cause inaonekana when you are cornered you double the number.
uwanja ni wa jeshi kakaHivi huu uwanja ni wa mtu binafsi, serikali au jeshi?
Lete mfano wapi yapo?Hata bongo yapo.
ila shida nyingine tulionayo sisi mikopo ile inatolewa kwa kujuana sio kwa kuangalia wahitaji na bahat mbaya wizara ile iko chini ya mkwe wa nchi so hata aharibu vp utamuona pale pale 😂😂😂Dah sisteri kaongea ukweli mtupu.
Amezungumza ukweli sana.
Japo nikazie kwenye maendeleo ya wanawake,kinamama wa Tanzania wanasaidiwa na serikali kwa namna tofauti ikiwemo mikopo ya halmashauri isiyo na riba kwaajili ya maendeleo.
Pia kuna saccos,vicoba and so on.
Je Kenya imeandaa mpango gani wa kuinua wanamama!??
Rudi Yemen. Ebu hizi blocks na zisipokuwa over 30 unitag. Alafu mambo ya Asante kwa render iliishia wapi?😂😂hebu kwanza tuoneshe hzo 30 blocks 😂😂 alaf zije 45 au waona watu wote ni wajinga kama nyie kazi kujisifia uongo tu
Sio sehemu zote wanatoa kwa kujuana kaka.ila shida nyingine tulionayo sisi mikopo ile inatolewa kwa kujuana sio kwa kuangalia wahitaji na bahat mbaya wizara ile iko chini ya mkwe wa nchi so hata aharibu vp utamuona pale pale 😂😂😂
basi shukuru sana na ujione mwenye bahat kuna watu wanalia huu mwaka wa nne kwenye mikopo hioSio sehemu zote wanatoa kwa kujuana kaka.
Kigamboni mbona tumebahatika mie nikiwa moja wapo wa mikopo ya vijana bila kujuana kaka!?
Kitu hakiwezi kuwa efficient mia kwa mia .
Ni kweli usemalo lingine ni kuwa viongozi wenyewe wa halmashauri wanatafuna pesa pia.basi shukuru sana na ujione mwenye bahat kuna watu wanalia huu mwaka wa nne kwenye mikopo hio
sio tena 45 maana sioni ukitaja hio number tena 😂😂😂😂Rudi Yemen. Ebu hizi blocks na zisipokuwa over 30 unitag. Alafu mambo ya Asante kwa render iliishia wapi?😂😂
![]()
Si ulisema tu kuonyesha 30?sio tena 45 maana sioni ukitaja hio number tena 😂😂😂😂
hebu kwanza tuoneshe hzo 30 blocks 😂😂
ziko wapi hzo 45 au ziko juu ya hewa 😂😂Si ulisema tu kuonyesha 30?
Ama huyu sio wewe?😂😂😂👇👇👇😂😂
Alafu nimekuonyesha picha nusu, other 15 blocks ziko kwa side yenye camera man was standing. From this picture alone I can count 40 blocks.
Kuhesabu ndio shida kwako ama? The picture has covered only 40 blocks and 5 more are uncovered. Najua unaumia because you asked to be shown 30 blocks but instead I have shown you 40 blocks of 11 floors each😂😂😂ziko wapi hzo 45 au ziko juu ya hewa 😂😂
nchi nzima haina hata mradi wa maendeleo mumekaa kushangilia ujinga wa affordable housing
Seats and roof installation is currently ongoing at Raila Odinga Stadium Homa Bay.
View: https://www.facebook.com/share/v/15xcMoRti3/
Seats and roof installation is currently ongoing at Raila Odinga Stadium Homa Bay.
View: https://www.facebook.com/share/v/15xcMoRti3/
hzo 45 nimekuuliza ziko juu ya hewa ?😂😂Kuhesabu ndio shida kwako ama? The picture has covered only 40 blocks and 5 more are uncovered. Najua unaumia because you asked to be shown 30 blocks but instead I have shown you 40 blocks of 11 floors each😂😂😂