Huyo mzee siku hizi hatoki jukwaa la mapenzi naskia amekuwa kungwiHuyo ni Geza Ulole hata haonekani humu siku hizi sijui kaishia kwa viroba?

I totally agree with this!!!
Huu mtifuano toka mwaka jana siachi kabisa kupitia kila page ila hii imevunja mbavu joto la jiwe imebidi nitoke huko nije nicheke hapa hadharaniMlijipendekeza ili tuendelee kuwapa chakula bure![]()
![]()

Hatuwezi kuwanyima chakula, hawa ni watani wetu wa jadi kama Simba na Yanga, moja ikishuka daraja, ladha ya ligi inapotea, tusipowapelekea chakula wataendelea kufa, kutakuwa hatuna watu wa kunyukana nao hapaJF, ila lazima tuwazingue kidogoHuu mtifuano toka mwaka jana siachi kabisa kupitia kila page ila hii imevunja mbavu joto la jiwe imebidi nitoke huko nije nicheke hapa hadharani![]()
![]()
![]()
![]()

I totally agree with this!!!
Si huyo mlevi wenu aliamua kujipendekeza ,mwambie visa iko palepaleMlipokea mabati 4000, blanketi kutoka kwa Serikali ya Kenya?
watu wanataka kuupanda sio kuona hata kwenye picha watu wanaona ila wanataka kuupanda mlima wa tanzania na mlima kilimanjaro unapokea watalii wengi sana tena sana wakitaka kuupanda 😀😀😀😀😀very true....Kilimanjaro views are best seen from Kenya's Amboseli...the other side it is completely boring...
View attachment 660183
Namuona job less mwaswat anapambana na hali yake