Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mi siongei tarab kama ww.. Ngoja kiive nikupalase.. Mmeshapewa malink na ma link, mapicha kwa mapicha bado mnajifanya kujisahaulisha..
Mapicha gani hizo mnaweka hazieleweki? Weka picha bila uoga na kama hamna maendeleo tulia hapana jichocha kwa mdomo.
 
Just imagine that Diamond (with due respect to his talent) is their Brand Ambassador! A copy-cat at his best,can't express himself in international fora. Frankly,most Kenyans only tolerate his ilk for the sake of ujirani mwema! 😉
When it comes to sports tz is zero....at least Kenya has some international musicians like nameless, wyre,sauti Sol etc
 
Nchi karibia zote za middle income ziko na talent kama hawa....sijuui jirani yuko na talanta gani walahi...labda zanzibar

What amazes me is that they're even not rattled in catching up! To them,lots of mineral deposits and out-sized ego of cohesion is bliss to development! Diversity of human resource skills ni haba sana huko.
 
Ichoboy first trip to nai..
f849220850a3495b2528bd0d6b6482f6.jpg
hahahahahahaha.... duh!
 
Haijawahi tokea Tanzania tukapokea donation ya chakula, kama umesoma vizuri hiyo article zaidi inazungumzia pockets za maeneo yanayokumbwa na upungufu wa chakula, hii inatokana na poor distribution of food, maeneo yanayozalisha chakula kwa wingi ni kusini mwa Tanzania, kukifikishachakula kufikia katikati, kaskazini na magharibi ya Tanzania ni sawa na kutoa chakula Mombasa hadi Juba, Tanzania ni kubwa sana, hivyo kusini kunakuwa na chakula cha ziada wakati sehemu zingine zinakumbwa na upungufu wa chakula, hatuhitaji msaada wa chakula toka nje ya nchi, just to improve food chain system.
 
Haijawahi tokea Tanzania tukapokea donation ya chakula, kama umesoma vizuri hiyo article zaidi inazungumzia pockets za maeneo yanayokumbwa na upungufu wa chakula, hii inatokana na poor distribution of food, maeneo yanayozalisha chakula kwa wingi ni kusini mwa Tanzania, kukifikishachakula kufikia katikati, kaskazini na magharibi ya Tanzania ni sawa na kutoa chakula Mombasa hadi Juba, Tanzania ni kubwa sana, hivyo kusini kunakuwa na chakula cha ziada wakati sehemu zingine zinakumbwa na upungufu wa chakula, hatuhitaji msaada wa chakula toka nje ya nchi, just to improve food chain system.
Rudi shule babaa...pockets gani na wanasema 80% ya Tz.
 
Rudi shule babaa...pockets gani na wanasema 80% ya Tz.
Muhimu ni kwamba hatujawahi kuomba wala kupewa donation ya chakula kama South Sudan, Kenya, Ethiopia, Somalia na Yemen, nchi zinazo ongoza duniani kwa njaa na kupokea msaada wa vyakula
 
Muhimu ni kwamba hatujawahi kuomba wala kupewa donation ya chakula kama South Sudan, Kenya, Ethiopia, Somalia na Yemen, nchi zinazo ongoza duniani kwa njaa na kupokea msaada wa vyakula

Pretentious as always.....
 
Pretentious as always.....
Acha kukataa ukweli, World Food Organization wenye mamlaka ya kutangaza hali ya chakula duniani ambao wametangaza njaa Kenya, ndiyo wanaosema tatizo la upungufu wa chakula Tanzania ni very much localized na watu wanaohitaji chakula cha kununua kwa bei nafuu ni less than 150,000, out of 55 millions Tanzanians, wakati Kenya wanaohitaji chakula cha bure ni 4millions Kenyans
 
Acha kukataa ukweli, World Food Organization wenye mamlaka ya kutangaza hali ya chakula duniani ambao wametangaza njaa Kenya, ndiyo wanaosema tatizo la upungufu wa chakula Tanzania ni very much localized na watu wanaohitaji chakula cha kununua kwa bei nafuu ni less than 150,000, out of 55 millions Tanzanians, wakati Kenya wanaohitaji chakula cha bure ni 4millions Kenyans
Mwambie huyo mbuzi,tunalima mpaka tunalilia kuuza maindi nje baada ya kukosa soko ndani.

Na serikali inatukatalia.
 
Back
Top Bottom