Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We fala pictures are not my cup of tea. Mimi huwa nafikia Sarova Stanley na hapo The Boma sometimes it is just off mombasa highway. Huko mimi siwezi piga picha hata kwa simu naogopa vibaka wanapora on the daylight.
Pickpocketer Bomas Hotel na Sarova Stanley? Utakuwa wale wa kulala vigesti vya 300/- per night maanake hizo sehemu unazoongelea pickpocketers hawapatikani.
 
So, unataka tujaze picha zetu humu😂😂
Sitaki ujaze picha. Nataka uwache hiyo rhetoric ya kuongea vitu usivyojua ni kama unavijua. Ukisema 'nimewai tembea hapo Kibera' tuoneshe kwa picha tuone ni ukweli ushaatembea Kibera. Otherwise usijifanye unaijua sana Kenya wakati knowledge yako ni ya mtandaoni tu.
 
Sitaki ujaze picha. Nataka uwache hiyo rhetoric ya kuongea vitu usivyojua ni kama unavijua. Ukisema 'nimewai tembea hapo Kibera' tuoneshe kwa picha tuone ni ukweli ushaatembea Kibera. Otherwise usijifanye unaijua sana Kenya wakati knowledge yako ni ya mtandaoni tu.

1)Kibera, Nairobi


2)Mathare, Nairobi



3)Mukuru kwa njenga, Nairobi

4) Mukuru kwa Ruben



5) Kawangware



6) Korogocho, Nairobi 🇰



7)Dandora, Nairobi 🇰



8)Kayole, Nairobi 🇰

9) Pipeline

Hapo bado SLUMS za Central Kenya.

Bado Inhuman poor living conditions za vijijini Mombasa, Kilifi, Tana Rive, Lamu.

Where do you Kenyans exactly LIVE😂😂😂
 
We fala pictures are not my cup of tea. Mimi huwa nafikia Sarova Stanley na hapo The Boma sometimes it is just off mombasa highway. Huko mimi siwezi piga picha hata kwa simu naogopa vibaka wanapora on the daylight.
Boma gani is off Mombasa Highway? Wewe hujaifika Kenya.

Bima Hotel iko South C uko ndani, ukiwa Boma hata huskii sauti ya magari yanapita kwa barabara.
 
1)Kibera, Nairobi


2)Mathare, Nairobi



3)Mukuru kwa njenga, Nairobi

4) Mukuru kwa Ruben



5) Kawangware



6) Korogocho, Nairobi 🇰



7)Dandora, Nairobi 🇰



8)Kayole, Nairobi 🇰

9) Pipeline

Hapo bado SLUMS za Central Kenya.

Bado Inhuman poor living conditions za vijijini Mombasa, Kilifi, Tana Rive, Lamu.

Where do you Kenyans exactly LIVE😂😂😂
How is this related to the post you're quoting? You see, it's this stupidity and visibility of lack of exposure that makes us doubt when you say you have been to Kenya because there is some level of stupidity that one loses through travelling and you're not showing any evidence of losing it.
 
This post reeks lack of exposure. 🤣 🤣
It seems huyo jamaa hajui anything kuhus football. Yani anasema tu kwa macho ngumu ati opening haitafanyika Talanta savabu Talanta Stadium haina running truck as if competion ni ya mbio😂😂
 
It seems huyo jamaa hajui anything kuhus football. Yani anasema tu kwa macho ngumu ati opening haitafanyika Talanta savabu Talanta Stadium haina running truck as if competion ni ya mbio😂😂
He doesn't know anything about anything.
 
Baboon hakuna siku Tanzania itafikia Kenya in terms of revenue.

images (5).png



images (57).jpeg
Hiyo si Hela anayoingiza Zuchu tuu mwaka mmoja 🤣🤣🤣
 
How is this related to the post you're quoting? You see, it's this stupidity and visibility of lack of exposure that makes us doubt when you say you have been to Kenya because there is some level of stupidity that one loses through travelling and you're not showing any evidence of losing it.
I can never post photos of mine here
20250428_150853.jpg
 
Back
Top Bottom