Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

5Y ni registration ya nchi gani we mzee?😄
Hivi unajua ndege ikiwa leased kama ikija Ukunyani inapaswa kubadili namba kuwa ya nchi husika? Na pia kuna aina ngapi za lease? Hiyo ndege si ya Skyward express ndio maana hata livery yake ni Martinair Holland!
 
Bro. I haven't commented on this forum in like 5 years.. you made my day.
We have been comparing ourselves with simpletons. Damn
You own us in which way? Pesa yenye hao warabu wamewekeza Kenya can’t even built Talanta Stadium😂😂🤣😂.

Actually they can’t even buy Naivas Supermarket😂🤣
O
 
Hivi unajua ndege ikiwa leased kama ikija Ukunyani inapaswa kubadili namba kuwa ya nchi husika? Na pia kuna aina ngapi za lease? Hiyo ndege si ya Skyward express ndio maana hata livery yake ni Martinair Holland!
Hiyo ndege ilikodiwa kutoka Kenya.
 
Bro. I haven't commented on this forum in like 5 years.. you made my day.
We have been comparing ourselves with simpletons. Damn

O
Hawa wachawi wanajaribu kujiweka level yenye hawawezani nayo. To make the matters worse, ni warabu ndio wanatupigia nao kelele. Hakuna real mtanzania hata mmoja mwenye Ana uwezo wa kuwekeza Kenya.
 
Hivi unajua ndege ikiwa leased kama ikija Ukunyani inapaswa kubadili namba kuwa ya nchi husika? Na pia kuna aina ngapi za lease? Hiyo ndege si ya Skyward express ndio maana hata livery yake ni Martinair Holland!
Uki lease kitu it belongs to you hadi leasehold iishe. I thought that's common knowledge. Upende usipende Skyward wametengeneza pesa from msanii wenu. 😄
 
Uki lease kitu it belongs to you hadi leasehold iishe. I thought that's common knowledge. Upende usipende Skyward wametengeneza pesa from msanii wenu. 😄
Kwahiyo livery ilibadilika over the night? Ikawa martinair?
Skyward%20Airlines%20Our%20Fleet%20%205.jpg
 
Uki lease kitu it belongs to you hadi leasehold iishe. I thought that's common knowledge. Upende usipende Skyward wametengeneza pesa from msanii wenu. 😄
Still the status does not change leased from the owner Martinair!
 
Still the status does not change leased from the owner Martinair!
If I lease something from you, it belongs to me hadi lease iishe. Kama hukua unajua, jua leo. Ama wewe ukilipa rent kwako, landlord hukuja kuishi na wewe ju nyumba ni yake? 🤣🤣 Usiwe mjinga bana.
 
If I lease something from you, it belongs to me hadi lease iishe. Kama hukua unajua, jua leo. Ama wewe ukilipa rent kwako, landlord hukuja kuishi na wewe ju nyumba ni yake? 🤣🤣 Usiwe mjinga bana.
nimekuonyesha ikiwa na livery ya Skyward express na sasa ikiwa na livery ya Martinair ikiwa South Africa uploaded February 3rd 2025!
Screenshot 2025-04-19 184657.png


Unknown owner!
Screenshot 2025-04-19 185317.png
 
Back
Top Bottom