Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nile na wale ndugu zako hawajala? Huo ni ungwana kweli?
Kwikwi Tanzania hakuna shida nyinyi Mimi nilitoka nje tu nakutana na mihogo ya ksh 4 nakula mpaka nasaza ila wewe huna hata uwezo wa kupata huo muhogo na hata hiyo ksh 5 huna
 
Asilimia kubwa ni 60% bongolala tushawazoea Kwa kuquote figures out of nowhere.🤣🤣
Kwahiyo tukubaliane, bongo tunazalisha pikpik au atuzalishi.? I’ve shown you 3 different companies. Za kwenu ziko wapi.? 🤣🤣🤣🤣
 
Sasa hizo ndio semiconductors?
Ugua pole
1716560165373.jpeg
 
Kwikwi Tanzania hakuna shida nyinyi Mimi nilitoka nje tu nakutana na mihogo ya ksh 4 nakula mpaka nasaza ila wewe huna hata uwezo wa kupata huo muhogo na hata hiyo ksh 5 huna
Unakula mihogo alafu unajigamba nayo hapa🤣🤣🤣
No wonder mko hadi na shamba za mihogo Dar
 
Back
Top Bottom