Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mahakama Dom

20250406_142631.jpg
20250406_142640.jpg
20250406_142651.jpg
20250406_142655.jpg
 
Bra bra bra staki kusikia
Leta Efidens kwa kalataas
Unajifanya kipofu or something mzee wa sisikilizi mziki wa Tanzania ila unakula verse.

Mbona imeongelewa humu, go post za nyuma.

Nyie jamaa mna kawaida ya Kurudia ujinga hata mkipigwa.
 
The cycled part is the only non-AFC Leopards footbal team jersey. At this point i gather you're just looking for an argument or to descredit Kenyan football.
View attachment 3294616

...........and we do not have to be like you to wear exactly the same shirt. The other red stripped jerseys you see are Leopards' away kits. Stop looking for validation.
We nawe acha ujinga who Looking Validation kazi kujipa umhimu usiokuwepo. Hiyo "SEA" yako ni mashabiki wangapi wana jezi za timu za Derby? Mpo kutupigia kelele wakati watu wenyewe hawanunui hata jezi wengine wananunua kabisa hadi za Bongo wanaingia nazo uwanjani.

Imagine upo too proud na uzi wa yanga hadi kuwa kamati ya kuhesabu hela?


View: https://x.com/Roro_miles/status/1896877926936965612?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1896877926936965612%7Ctwgr%5E%7Ctwcon%5Es1_c10&ref_url=


Mzee, Punguza kujipa umhimu sana while the reality inakuumbua
 
We nawe acha ujinga who Looking Validation kazi kujipa umhimu usiokuwepo. Hiyo "SEA" yako ni mashabiki wangapi wana jezi za timu za Derby? Mpo kutupigia kelele wakati watu wenyewe hawanunui hata jezi wengine wananunua kabisa hadi za Bongo wanaingia nazo uwanjani.

Imagine upo too proud na uzi wa yanga hadi kuwa kamati ya kuhesabu hela?


View: https://x.com/Roro_miles/status/1896877926936965612?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1896877926936965612%7Ctwgr%5E%7Ctwcon%5Es1_c10&ref_url=


Mzee, Punguza kujipa umhimu sana while the reality inakuumbua

Mzee shukuruni sportpesa ku sponsor timu zenu, wakati walipokuwa Everton na hull city hizo jersey zilivaliwa sana Kenya.
 
Back
Top Bottom